
MBUNGE wa Viti Maalum kupitia chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lucy Mayemba amechangia Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2022/23 akiwakosoa vikali baadhi ya wabunge wanaotaka kuonesha udhaifu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Lucy amechangia bajeti hiyo leo Jumatano tarehe 22 Juni 2022 akienda mbali zaidi na kuwatukana “pumbavu kabisa” wale wote wanaotaka kumkwamisha.
Fuatilia mchango wake wote.
More Stories
Rais Mwinyi aukataa msamaha wa Mzee Shamte
Majaliwa ammwagia manoti aliyekuwa mraibu dawa za kulevya
Butiku ataka nguvu ielekezwe kwenye maendeleo ya wananchi kuliko vyama