Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mbunge aliyefyatua risasi bungeni apelekwa ICC
KimataifaTangulizi

Mbunge aliyefyatua risasi bungeni apelekwa ICC

Spread the love

MBUNGE Alfred Yekatom maarufu kama Rambo, aliyekamatwa na vyombo vya dola baada ya kufyatua risasi bungeni nchini Afrika ya Kati (CAR) amefikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Rambo amekuwa mtu wa kwanza kutoka CAR kupelekwa ICC akikabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu, ikiwemo kuhusika kwenye mauaji, kuteswa watu, kuwashambulia raia na kuwaingiza watoto kwenye shughuli za kijeshi.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya uhalifu huo mwaka 2013 hadi 2014 kwa kuongoza kundi la wapiganaji la waumini wa kikikristo Anti-Balaka, baada ya kundi la waislamu la Seleka kuipindua serikali mwaka huo.

Rambo mnamo mwaka 2016 alichaguliwa kuwa mbunge licha ya kuwkewa vikwazo na Umoja wa Mataifa (UN).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

error: Content is protected !!