Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Mbunge aliyefyatua risasi bungeni apelekwa ICC
KimataifaTangulizi

Mbunge aliyefyatua risasi bungeni apelekwa ICC

Spread the love

MBUNGE Alfred Yekatom maarufu kama Rambo, aliyekamatwa na vyombo vya dola baada ya kufyatua risasi bungeni nchini Afrika ya Kati (CAR) amefikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Rambo amekuwa mtu wa kwanza kutoka CAR kupelekwa ICC akikabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu, ikiwemo kuhusika kwenye mauaji, kuteswa watu, kuwashambulia raia na kuwaingiza watoto kwenye shughuli za kijeshi.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya uhalifu huo mwaka 2013 hadi 2014 kwa kuongoza kundi la wapiganaji la waumini wa kikikristo Anti-Balaka, baada ya kundi la waislamu la Seleka kuipindua serikali mwaka huo.

Rambo mnamo mwaka 2016 alichaguliwa kuwa mbunge licha ya kuwkewa vikwazo na Umoja wa Mataifa (UN).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

Spread the love  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

Spread the loveMSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

error: Content is protected !!