Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbowe apata ulinzi wa Polisi
Habari za Siasa

Mbowe apata ulinzi wa Polisi

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

JESHI la Polisi wilayani Hai mkoa wa Kilimanjaro, limevamia mkutano wa ndani wa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni, kumlinda kiongozi huyo na wafuasi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Tukio hilo limetokea leo tarehe 30 Septemba 2019 baada ya Lengai Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai kuagiza polisi kufika katika mkutano huo, kwa ajili ya kufuatilia agenda zake.

Ole Sabaya ameeleza kuwa, amechukua hatua hiyo kwa ajili ya kumlinda Mbowe, viongozi na wafuasi wa Chadema waliohudhuria katika mkutano huo, uliofanyika katika ofisi za Chadema za Wilaya ya Hai.

Mkuu huyo wa wilaya amesema, wanaoshiriki katika mkutano huo, hawana sababu ya kutaharuki kama wamefanya mkutano huo kwa nia njema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!