Wednesday , 27 September 2023
Home Kitengo Michezo Mbao FC waitoa nishai Gor Mahia
Michezo

Mbao FC waitoa nishai Gor Mahia

Spread the love

KLABU ya Mbao FC imefanikiwa kuiondoa timu ya FC Gor Mahia kutoka Kenya kwenye michuano ya kombe la Sport Pesa kwa njia ya mikwaji ya penalti 4-3 baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 90 za mchezo hivyo nakufanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)

Gor Mahia ambao walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo kwa miaka miwili mfululizo ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Oriech dakika ya  56, na baadae Mbao wakafanikiwa kusawazisha dakika ya 76 kupitia Aboubakar Ngalema.

Baada ya ushindi huo Mbao FC  itakutana na Kariobang Sharks kutoka Kenya katika mchezo wa nusu fainali siku ya Ijumaa.

Ikumbukwe bingwa wa michuano hiyo atapata zawadi ya kombe na kiasi cha fedha Sh. 30 milioni sambamba na kucheza mechi na klabu ya Evarton FC inayoshiliki Ligi Kuu nchini England mwezi Julai mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMichezo

Ukiwa na Meridianbet ni rahisi kuwa milionea

Spread the love  CARABAO Cup raundi ya 3 Uingereza inaendelea na mechi...

Michezo

Jezi ya Samatta iliyoifunga Liverpool kuuzwa Genk

Spread the love  KLABU ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji imeamua kuanza...

BiasharaMichezo

Hii ndio historia ya El-Clasico, derby bora zaidi duniani

Spread the love  KILA nchi ina vilabu viwili hasimu na pinzani nje...

BiasharaMichezo

Piga pesa kupitia Derby ya London Kaskazini kwa kubadhiri na Meridianbet

Spread the love NAJUA umesikia na unazijua Derby nyingi kutoka jiji la London,...

error: Content is protected !!