Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mawakala Ruto, Odinga wazozania kifaa cha majumuisho ya kura
Kimataifa

Mawakala Ruto, Odinga wazozania kifaa cha majumuisho ya kura

Spread the love

WAANDISHI wa habari wamelazimika kutolewa katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura za urais cha Bomas kupisha majadilino ya maafisa wa Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi (IEBC) na mawakala wa Azimio na UDA kufuatia mzozo ulioibuka baina yao. Vyombo vya ndani nchini humo vimeripoti.

Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Nation mawakala hao wamezozana kuhusu madai ya kifaa cha majumuisho ya kura kutiliwa shaka kuingizwa ndani ya chumba hicho madai yaliyotolewa na mawakala wa Azimio.

Upande wa Azimio umegomea uwepo wa kifaa hicho ambacho bado hakijatambuliwa na kusababisha kusitishwa kwa mchakato wa uhakiki wa kura.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!