Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Maumivu watumiaji wa simu, miamala ya fedha
Habari Mchanganyiko

Maumivu watumiaji wa simu, miamala ya fedha

Spread the love

WAZIRI wa Fedha na Mipango wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amependekeza kuongeza gharama za kufanya mialama ya simu pamoja na gharama za laini. Anaripoti Nasra Bakari, DMC…(endelea).

Dk. Mwigulu, amebainisha hayo leo Alhamisi, tarehe 10 Juni 2021, wakati akiwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2021/22, bungeni jijini Dodoma.

“Kutoza kiasi cha Sh.10 hadi Sh.200 kwa siku kwa kila laini ya simu kulingana na uwezo wa kuongeza salio kwa watumiaji,” amesema

Amesema, pendekezo hilo litapelekea kuongeza mapato ya Serikali kiasi cha Sh.396.3 bilioni

Dk. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango

Pia, Dk. Mwigulu amesema, “kutoza tozo ya Sh.10 hadi Sh.10,000 katika kila muamala wa kutuma au kutoa pesa. Kiasi cha tozo kinatofautiana kulingana na thamani ya muamala wa fedha unaotumwa au kutolewa.”

Amesema, pendekezo hilo litaongeza mapato ya Serikali kiasi cha Sh. 1.2 trilioni

https://www.youtube.com/watch?v=c5nbVWXuTiw

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!