Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Marufuku mkandarasi aliyeboronga kuhamia mkoa mwingine
Habari za Siasa

Marufuku mkandarasi aliyeboronga kuhamia mkoa mwingine

Spread the love

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa amepiga marufu wakandarasi wanaoharibu miradi, kuhamishiwa maeneo mengine. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Prof. Mbarawa ametoa agizo hilo leo tarehe 7 Novemba 2018 wakati akizungumza na wasimamizi wa mamlaka za maji nchini.

“Kitendo cha Mkandarasi kuharibu miradi ya kazi mkoa mmoja na akahamishiwa mkoa mwingine naomba kuanzia sasa iwe mwisho. Hatuwezi kuendelea kuwapa kazi watu ambao wameshatuharibia kazi,” amesema Prof. Mbarawa.

Katika hatua nyingine, Prof. Mbarawa amesema kuanzia sasa watendaji wa sekta ya maji watakuwa wanapimwa utendaji wao katika kutatua shida ya maji kwa wananchi wa maeneo yao, na kwamba mtendaji atakayeshindwa kufikia malengo hayo atakuwa ana hatarisha nafasi yake

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!