Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Marufuku mkandarasi aliyeboronga kuhamia mkoa mwingine
Habari za Siasa

Marufuku mkandarasi aliyeboronga kuhamia mkoa mwingine

Spread the love

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa amepiga marufu wakandarasi wanaoharibu miradi, kuhamishiwa maeneo mengine. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Prof. Mbarawa ametoa agizo hilo leo tarehe 7 Novemba 2018 wakati akizungumza na wasimamizi wa mamlaka za maji nchini.

“Kitendo cha Mkandarasi kuharibu miradi ya kazi mkoa mmoja na akahamishiwa mkoa mwingine naomba kuanzia sasa iwe mwisho. Hatuwezi kuendelea kuwapa kazi watu ambao wameshatuharibia kazi,” amesema Prof. Mbarawa.

Katika hatua nyingine, Prof. Mbarawa amesema kuanzia sasa watendaji wa sekta ya maji watakuwa wanapimwa utendaji wao katika kutatua shida ya maji kwa wananchi wa maeneo yao, na kwamba mtendaji atakayeshindwa kufikia malengo hayo atakuwa ana hatarisha nafasi yake

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!