Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani kutoa dola 100 kwa atakayekubali chanjo ya Korona
Kimataifa

Marekani kutoa dola 100 kwa atakayekubali chanjo ya Korona

Joe Biden, Rais wa Marekani
Spread the love

 

RAIS wa Marekani, Joe Biden ameanzisha utaratibu wa kutoa dola 100 (Sh.231900), kwa kila mwananchi atakaye kubali kuchanjwa chanjo ya Ugonjwa wa Korona, ikiwa ni jitihada za kutokomeza maambukizi ya wimbi la tatu la janga hilo, nchini humo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Biden ametangaza uamuzi huo jana tarehe 29 Julai 2021, akilihutubia Taifa hilo akiwa Ikulu ya White House, Marekani.

Rais huyo wa Marekani, aliagiza maafisa wa Serikali za mitaa nchini humo, kutoa fedha hizo kama motisha kwa watu watakaokubali chanjo hiyo.

Rais Biden alisema kuwa, uamuzi huo utawafanya wananchi wa Marekani, kuwa na mwamko wa kupata chanjo kuliko kutumia nguvu.

Pia, Rais Biden aliagiza watumishi wa Marekani, kutoa vielelezo vinavyoonesha kama wamepata chanjo ya Korona.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!