Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Maonyesho ya vyuo vikuu yafunguliwa Dar
Elimu

Maonyesho ya vyuo vikuu yafunguliwa Dar

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu (mwenye suti ya bluu) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa TCU
Spread the love

WAZIRI Mkuu, Kasimu Majaliwa leo amefungua rasmi maonyesho ya 12 ya vyuo vikuu hapa nchini, anaandika Victoria Chance.

Maonyesho hayo ya siku tatu yanafanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na wanafunzi, wafanyakazi wa vyuo vikuu pamoja na wananchi waliohudhuria maonyesho hayo, Majaliwa alisema yanasaidia kujua masuala mbalimbali yanayohusu elimu ya juu.

Katika maonyesho hayo ya 12, Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU), imevitaka baadhi ya vyuo hapa nchini kusimamisha baadhi ya masomo.

Akizungumza na MwanaHALISI Online, mmoja wa wakufumzi katika banda la Chuo Kikuu cha Dar es salaam, amesema baadhi ya masomo yamesitishwa kutokana na kutokuwa na ulazima masomo hayo kuwepo katika chuo husika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

Spread the loveKATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa...

error: Content is protected !!