Saturday , 10 June 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Maonyesho ya vyuo vikuu yafunguliwa Dar
Elimu

Maonyesho ya vyuo vikuu yafunguliwa Dar

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu (mwenye suti ya bluu) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa TCU
Spread the love

WAZIRI Mkuu, Kasimu Majaliwa leo amefungua rasmi maonyesho ya 12 ya vyuo vikuu hapa nchini, anaandika Victoria Chance.

Maonyesho hayo ya siku tatu yanafanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na wanafunzi, wafanyakazi wa vyuo vikuu pamoja na wananchi waliohudhuria maonyesho hayo, Majaliwa alisema yanasaidia kujua masuala mbalimbali yanayohusu elimu ya juu.

Katika maonyesho hayo ya 12, Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU), imevitaka baadhi ya vyuo hapa nchini kusimamisha baadhi ya masomo.

Akizungumza na MwanaHALISI Online, mmoja wa wakufumzi katika banda la Chuo Kikuu cha Dar es salaam, amesema baadhi ya masomo yamesitishwa kutokana na kutokuwa na ulazima masomo hayo kuwepo katika chuo husika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Elimu

Wanafunzi wa St Joseph Dar wabuni Satellite

Spread the loveWANAFUNZI na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph cha...

Elimu

Serikali yatoa Sh. 573 mil. kukamilisha wa ujenzi sekondari ulioanzishwa na wanakijiji

Spread the love  SERIKALI kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetenga Sh....

Elimu

CBE yaja na kozi mpya 16 zikiwemo za ujasiriamali na uvumbuzi

Spread the loveChuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuanzia mwaka wa masomo...

Elimu

SUA kuhakikisha tafiti zinazofanywa zisiachwe kwenye makabati

Spread the love  MRATIBU wa utafiti na machapisho katika kurugenzi ya uzamiri,...

error: Content is protected !!