Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Man City, Arsenal dimbani Kesho, EPL kurejea
Michezo

Man City, Arsenal dimbani Kesho, EPL kurejea

Spread the love

BAADA ya kusimama kwa takriban miezi mitatu, hatimaye Ligi Kuu nchini England kurejea kesho kwa michezo miwili ambapo klabu ya Manchester City itaikalibisha Arsenal kwenye uwanja wa Etihad. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Mchezo huo ambao ulikuwa wa kiporo wa mzunguko wa pili utazikutanisha klabu hizo ambazo zina historia kubwa kesho soka la England ambapo mchezo wa mwisho Arsenal alipoteza kwa mabao 3-0, kwenye uwanja wa Emirates.

Ligi hiyo ambayo imebakiza michezo tisa kumalizika inarejea baada ya mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 uliosababisha kusimamishwa na chama cha soka nchini humo (FA) huku klabu ya Liverpool ikiwa kinara kwenye msimamo baada ya kujikusanyia pointi 82.

Mchezo mwingine siku ya kesho utaikutanisha klabu ya Astorn Villa anayochezea mtanzania Mbwana Samatta dhidi ya Sheffield United na siku ya Ijumaa, Manchester United itashuka dimbani kuikabili Tottenham, Norwich city dhidi ya Southampton.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!