Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mahakama yagoma kuitwa idara
Habari Mchanganyiko

Mahakama yagoma kuitwa idara

Spread the love

MAHAKAMA ya Tanzania, imepiga marufuku kuitwa idira na kwamba ni mhimili pekee unaojitegemea. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Onyo hilo limetumwa leo tarehe 30 Julai 2019, kwa vyombo ya habari na Nurdin Ndimbe, Mtendaji Mkuu wa Mahakama Tanzania.

Ndimbe amesema, wanahabari wamekuwa wakitumia neno idara kwenye taarifa zao jambo ambalo si sahihi.

“Kwa barua hii, tunaomba kuanzia sasa katika taarifa zenu msitaje tena mahakama kama idara bali itambulike kama Mahakama ya Tanzania kama ilivyo Bunge la Tanzania,” amesema Ndimbe.

Amesema, kwa mujibu wa fungu la 107 A(1) na 107 (B) la Katiba wa Jamhuri ya Tanzania,  Mahakama ni mhimuli  wa dola kama ilivyo Bunge na Serikali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!