Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Mahakama Kenya yaamuru mitambo ya tume ichunguzwe
Makala & Uchambuzi

Mahakama Kenya yaamuru mitambo ya tume ichunguzwe

Spread the love

MAHAKAMA Kuu nchini Kenya imekubali ombi la  Muungano wa Upinzani (NASA), nchini humo kukagua mitambo iliyotumiwa na Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Agost 8 mwaka huu, anaandika Irene David.

Kesi hiyo imewasilishwa na NASA kupitia aliyekuwa mgombea wake urais, Raila Odinga, akipinga ushindi wa Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee.

Mahakama ya juu nchini humo, imetoa ruhusa kwa mawakili wa Raila  kuchunguza  mitambo iliyotumika kuhesabu kura .

Uchunguzi wa mitambo hiyo utaisaidia mahakama kutoa maamuzi yenye haki kwa pande zote ambapo ripoti hiyo ya uchunguzi inatarajiwa kukamilika hapo kesho.

Mpaka sasa bado Uhuru hajaapishwa mpaka kesi ya pingamizi la ushindi wake itakapo malizika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMakala & Uchambuzi

Kanda ya Ziwa yaonyesha NMB inavyosaidia afya ya mama na mtoto

Spread the loveMafanikio inayozidi kupata Tanzania katika kupunguza vifo vya mama na...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

‘Mwanapekee’ wa Rais Samia: Atabadili nini Arusha?

Spread the loveMAPEMA wiki hii, baadhi ya viongozi walioapishwa na Rais Samia...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kipunguni waihoji serikali, ziko wapi fedha za fidia?

Spread the loveWATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu,...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Askofu Bagonza: Tusichonganishwe; tusichokozane na tusikufuru

Spread the loveJOTO la chaguzi linapanda kila siku hapa nchini. Upo umuhimu...

error: Content is protected !!