Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Mahakama Kenya yaamuru mitambo ya tume ichunguzwe
Makala & Uchambuzi

Mahakama Kenya yaamuru mitambo ya tume ichunguzwe

Spread the love

MAHAKAMA Kuu nchini Kenya imekubali ombi la  Muungano wa Upinzani (NASA), nchini humo kukagua mitambo iliyotumiwa na Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Agost 8 mwaka huu, anaandika Irene David.

Kesi hiyo imewasilishwa na NASA kupitia aliyekuwa mgombea wake urais, Raila Odinga, akipinga ushindi wa Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee.

Mahakama ya juu nchini humo, imetoa ruhusa kwa mawakili wa Raila  kuchunguza  mitambo iliyotumika kuhesabu kura .

Uchunguzi wa mitambo hiyo utaisaidia mahakama kutoa maamuzi yenye haki kwa pande zote ambapo ripoti hiyo ya uchunguzi inatarajiwa kukamilika hapo kesho.

Mpaka sasa bado Uhuru hajaapishwa mpaka kesi ya pingamizi la ushindi wake itakapo malizika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & Uchambuzi

Ruth Zaipuna: Sekta ya kibenki imeimarika maradufu miaka miwili ya Dk. Samia

Spread the loveTarehe 19 ya mwezi Machi, ni siku muhimu sana kwa...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Miaka miwili ya Rais Samia, TMA yaimarika, yatoa utabiri kwa usahihi

Spread the loveMACHI 19, 2023 Rais Samia Suluhu Hassan anatamiza miaka miwili...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Zanzibar inahitaji sheria kumaliza udhalilishaji na ukatili wa kijinsia

Spread the love  DAKTARI Sikujua Omar Hamdan anaamini Zanzibar inahitaji “sheria za...

Makala & Uchambuzi

Uthubutu, uwezeshaji kielimu unavyopaisha wanawake GGML

Spread the loveMTU anapojitambulisha kuwa anafanya kazi mgodini, watu wengi hudhani kuwa...

error: Content is protected !!