
Spread the love
MAALIM Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) leo tarehe 18 Machi 2019 ametangaza rasmi kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).
“Hatua tunayochukua leo ya kuhamia ACT-Wazalendo ni ya kihistoria. Umma haujawahi kushindwa dunaiani kote. Na umma wa Watanzania hautashindwa. ShushaTangaPandishaTanga Safari iendelee,” Maalim Seif.
Habari zaidi zitakujia..
More Stories
Mbowe ataja mambo mawili magumu ya JPM
CCM, wastaafu watakiwa kutubu
Chadema wabisha hodi Ikulu