Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu atumia mtumbwi kuwafikia wapigakura
Habari za SiasaTangulizi

Lissu atumia mtumbwi kuwafikia wapigakura

Tundu Lissu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema akivuka Ziwa Victoria kwa kutumia kutumia mtumbwi akieleka Ukelewe
Spread the love

MSAFARA wa Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema umelazimika kutumia mtubwi kutoka Kisorya mkoani Mara kwenda Ukerewe Mkoa wa Mwanza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara … (endelea)

Leo Jumatano tarehe 14 Oktoba 2020, msafara wa Lissu walifika eneo hilo la Kisorya ili kwenda Ukerewe umbali unaokadiliwa kuwa kilomita 21.9 kuhutubia mkutano wa kampeni lakini, kivuko kinachotoa huduma eneo hilo kilielezwa ni kibovu.

Kwa mujibu wa rariba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaonyesha mkutano wa kwanza Lissu anapaswa kuufanya Ukerewe kisha baadaye atakuwa Jimbo la Rorya Mkoa wa Mara.

 

Katika ukurasa wake wa Twitter, Lissu ameweka video wakiwa wanataka kuanza safari na kuandika “kwa mara ya pili katika kipindi hiki cha kampeni, bila sababu za msingi, hamna kivuko cha Kisorya kwa ajili ya msafara wetu kwenda Ukerewe.”

“Yote ni kwa ajili ya kuzuia tusifike huko. Sasa tutavuka kivingine na tutafanya mkutano kama ilivyo ratiba! Haturudi nyuma,” amesema Lissu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

error: Content is protected !!