Thursday , 28 March 2024
Habari za SiasaTangulizi

Lissu atoa ya moyoni

Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema
Spread the love

TUNDU Lissu, Mbunge was Singida Mashariki amesema kuwa upinzani umeshambuliwa kuliko kipindi chochote nchini Tanzania. Anaripoti Yusuph Katimba … (endelea).

Lissu amesema hivyo leo tarehe 28 Agosti 2018 usiku saa 3:23 alipozungumza katika kipindi cha BBC Swahili.

Mbunge huyo aliyepigwa risasi mjini Dodoma yapata mwaka mmoja uliopita amesema katika kipindi cha miaka miwili ya sasa, upinzani umeshambuliwa kwa kiwango kikubwa.

Alisema hivyo baada ya kuulizwa swali na mtangazaji Zuhura Yunus kwamba, upinzani umelegalega nchini Tanzania.

Alijibu swali hilo Lissu amesema, itakua ajabu kama upinzani utabaki vile katika kipindi hiki.

“Wapinzania hawajanyamaza, ila umeshambuliwa,” amesema Lissu na kuongeza “ni ajabu kama tungeendelea kuwa kama wa Kikwete (Rais Kikwete, Rais Mkapa).

Pia Lissu amesema kuwa, Bunge lilitoa taarifa ya kukataa kumlipia matibabu kwa madai ya kutofuata utaratibu.

Amesema, atapona vizuri atarejea nchini huku akiwa na tahadhari.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaTangulizi

Mapya yaibuka wamasai waliohamishwa Ngorongoro kwenda Msomera

Spread the loveMAPYA yameibuka kuhusu zoezi la Serikali kuwahamisha kwa hiari wamasai...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba aomba msaada kuzika miili ya familia yake iliyofunga bila kula kuonana na Mungu

Spread the loveWAKATI Mamlaka nchini Kenya, ikiendelea kukabidhi miili ya watu waliofariki...

Habari za Siasa

Rais Samia ampongeza mpinzani aliyeshinda urais Senegal

Spread the loveRAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amempongeza mwanasiasa wa...

error: Content is protected !!