Monday , 5 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu asema Job Ndugai ”amelikoroga”
Habari za SiasaTangulizi

Lissu asema Job Ndugai ”amelikoroga”

Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki
Spread the love

TUNDU Lissu Mbunge wa Sindiga Mashariki amesema kuwa kitendo cha Spika wa Bunge Job Ndugai, kuridhia barua ya Chama cha Wananchi (CUF),kuwafukuza uanachama wabunge wake nane kitamuumbua, anaandika Faki Sosi.

Lissu akizungumza na MwanaHALISI Online Tv amesema kuwa dhamira ya Spika siyo nzuri kwa vyama vya upinzani.

“Mahakama ikitoa hukumu kuwa Professa Ibrahimu Lipumba siyo mwenyekiti wa CUF huku wabunge walioteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wakiwa wameishakula kiapo kunaeweza kuleta mgogoro.

Lissu amesema kuwa upinzani hauwatambui wabunge hao wapya kwenye kambi yao na kwamba hawatawapokea.

Tazama hapo Chini Full Video alichokizungumza Tundu Lissu kuhusu sakata hilo.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha mwanafunzi UDOM: Tume yamsafisha naibu waziri

Spread the loveTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini (THBUB),...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bosi NIC apandishwa kizimbani, akabiliwa na mashitaka 365

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

error: Content is protected !!