MAMLAKA nchini Kenya, zimemwachia huru, Godbless Lema, aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chadema. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Lema ameachiwa leo Jumatatu tarehe 9 Novemba 2020 baada ya kushikiliwa jana akituhumiwa kuingia nchini humo kinyume cha taratibu.
Lema amekimbilia nchini Kenya, ili kuomba hifadhi ya kisiasa, katika ubalozi wa Marekani, jijini Nairobi.
Soma zaidi:-
Baada ya kuachiwa, Lema anaendelea na taratibu za kutafuta hifadhi ya kisiasa ubalozi huo wa Marekani.
Mkomwamichael2@gmail.com