Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Michezo KMC yaanza kwa kishindo ligi kuu, Kagera yapigwa
Michezo

KMC yaanza kwa kishindo ligi kuu, Kagera yapigwa

Spread the love

TIMU ya KMC FC ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeanza kwa kushindo Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2020/21 kwa kuifunga Mbeya City 4-0. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mchezo huo umechezwa leo Jumatatu tarehe 7 Septemba 2020 katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Ushindi huo wa KMC ni mkubwa katika mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo ilianza jana Jumapili kwa michezo saba kati ya tisa.

Katika mchezo mwingine kati ya Kagera Sugar dhidi ya JKT Tanzania katika Uwanja wa Kaitaba, Bukoba mkoani Kagera ulimalizika kwa wenyeji kulala kwa bao moja lililofungwa dakika ya 16 na Adam Adam.

Saa 1:00 usiku wa leo, Azam itacheza na Polisi Tanzania katika Uwanja wa Azam Complex Chamanzi jijini Dar es Salaam kukamilisha mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

error: Content is protected !!