Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo KMC, Alliance wazibwaga Simba, Yanga tuzo Ligi Kuu
Michezo

KMC, Alliance wazibwaga Simba, Yanga tuzo Ligi Kuu

Spread the love

MSHAMBULIAJI Dickson Ambundo wa klabu ya Alliance Accademy na Kocha Mkuu wa KMC, Etiene Ndayiragije wameibuka vinara kwenye tuzo za mwezi Januari zinazotolewa na Bodi ya Ligi baada ya kufanya vizuri kwenye michezo yao. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)

Ambundo ameibuka kinara kwenye tuzo hiyo baada ya kuwashinda mlinda mlango wa KMC, Juma Kaseja na mshambuliaji wa Coastal Union, Ayoub Lyanga huku kocha Etiene alifanikiwa kuwapiku makocha Malale Hamsini ambaye anakinoa kikosi cha Alliance na Amri Said wa Biashara United.

Ndayiragije amefanikiwa kuiongoza KMC katika michezo 24 ya Ligi Kuu Tanzania Bara toka ilipopanda daraja na kufanikiwa kujikusanyia alama 35 na kushika nafasi ya tano kwenye msimamo.

Washindi wa tuzo hiyo katika msimu huu wa 2018/19 watajinyakulia kitita cha Sh. 1 milioni kutoka kwa mdhamini mkuu Biko Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!