Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Kisa Ubingwa wa AFCON, Rais Senegal atangaza mapumziko
Michezo

Kisa Ubingwa wa AFCON, Rais Senegal atangaza mapumziko

Spread the love

 

MARA baada ya Timu ya Taifa ya Senegal kutwaa ubingwa wa michuano ya kombe la Mataifa Afrika (AFCON), Rais wa nchi hiyo Macky Sall ametangaza kuwa siku ya leo ya Jumatatu ya tarehe 7 Februari kuwa ni mapumziko nchi nzima. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Senegal wametwaa ubingwa huo, mara baada ya kuifunga tmu ya Taifa ya Misri, kwa mikwaju ya penati 4-2, kufuatoia kutoshana nguvu kwenye dakika 120 za mchezo.

Rais Sall ametangaza siku hii kuwa ya mapumziko ili kusherehekea ushindi huo, mara baada ya kucheza fainali tatu za michuano hiyo na kutoka kapa.

Kikosi hiko cha Senegal kinatarajia kurejea leo nchini mwao wakitokea Cameroon walipokuwa wakishiriki michuano hiyo.

Licha ya kutwaa taji hilo, Senegal wamefanikiwa kutoa kipa bora wa michuano hiyo ambae ni Édouard Mendy, mchezaji bora wa fainali hizo ambaye tuzo hiyo imekwenda kwa Sadio Mane na pia kocha mkuu wa kikosi hiko Aliou Cisse ametwaa tuzo ya kocha bora wa michuano hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!