Friday , 2 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Kiongozi wa Bavicha anusurika kifo katika ajali
Habari za Siasa

Kiongozi wa Bavicha anusurika kifo katika ajali

Gari la Edward Simbeye baada ya kupata ajali
Spread the love

EDWARD Simbeye, Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), amepata ajali ya gari, anaandika Hamisi Mguta.

Ajali hiyo imetokea wakati Simbeye akiwa safarini akitokea Dar es Salaam kwenda Moshi, Kilimanjaro.

Simbeye amesema sababu ya ajali ni kufyatuka tairi la mbele kushoto kusababisha gari kupoteza mwelekeo na kuanguka kando mwa barabara eneo la Kawawa mjini Moshi.

“Tunamshukuru Mungu tumemetoka salama, mimi pamoja na mdogo wangu. Tulikuwa tunaenda nyumbani kwa sababu za kifamilia,” amesema Simbeye.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

Habari za SiasaTangulizi

Zanzibar watangaza rasmi kuwa shamba la Razaba ni mali yao

Spread the love  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza rasmi kwamba shamba...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi azindua Kamati ya Maridhiano Visiwani

Spread the love  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Hussein...

error: Content is protected !!