Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kiongozi wa Bavicha anusurika kifo katika ajali
Habari za Siasa

Kiongozi wa Bavicha anusurika kifo katika ajali

Gari la Edward Simbeye baada ya kupata ajali
Spread the love

EDWARD Simbeye, Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), amepata ajali ya gari, anaandika Hamisi Mguta.

Ajali hiyo imetokea wakati Simbeye akiwa safarini akitokea Dar es Salaam kwenda Moshi, Kilimanjaro.

Simbeye amesema sababu ya ajali ni kufyatuka tairi la mbele kushoto kusababisha gari kupoteza mwelekeo na kuanguka kando mwa barabara eneo la Kawawa mjini Moshi.

“Tunamshukuru Mungu tumemetoka salama, mimi pamoja na mdogo wangu. Tulikuwa tunaenda nyumbani kwa sababu za kifamilia,” amesema Simbeye.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!