Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kinana awapigia debe wanawake, vijana uchaguzi CCM
Habari za Siasa

Kinana awapigia debe wanawake, vijana uchaguzi CCM

Spread the love

 

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ametaka wanachama wanawake wapewe kipaumbele katika chaguzi za nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho, huku akiwahamasisha vijana kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Rukwa … (endelea).

Kinana ametoa wito huo leo Jumanne, tarehe 26 Julai 2022, akizungumza na wanachama wa CCM Mkoa wa Rukwa.

Ameshauri wagombea wanawake wapewe kipaumbele kwenye chaguzi hizo, kwani ni waaminifu, wanatenda haki na hawapendi dhuluma.

“Wanawake wamegombea wengi, hakikisheni mnawapitisha hawa kina mama. Wakina mama ni zaidi ya nusu ya Watanzania, wakigombea nafasi lazima muwape kipaumbele kwa sababu ni waaminifu, wa kweli, watenda haki. Wakina mama hawapenda dhuLuma na ni walezi wazuri wa familia,” amesema Kinana.

1 Comment

  • Naomba uongoze kwa mfano.
    Ng’atuka nafasi yako igombewe na wanawake walio na shahada.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!