Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kesi ya Makonda yatinga Mahakama Kuu
Habari za Siasa

Kesi ya Makonda yatinga Mahakama Kuu

Paul Makonda
Spread the love

 

KESI ya jinai iliyopangwa kufunguliwa dhidi ya aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, imetinga kwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa zilizothibitishwa na wakili wa muombaji, Hekima Mwasipu zinasema, uamuzi wa kulipeleka suala hilo kwa Jaji Mfawidhi, umetokana na hatua ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, kugoma kuirejesha tena kesi hiyo mahakamani.

Undani wa habari hii, soma Gazeti la Raia Mwema la leo Ijumaa, 24 Desemba 2021, kupata sababu zilizokwamisha kuirejesha pamoja na kilichotokea Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

1 Comment

  • WHICH NAME ALWAYS PRODUCES NICE WOMEN FOR MARRIAGE AS REPARATION OF FIRST LADY!

    1. LISA
    2. MARGRATE
    3. MARRY
    4. CATHELINE
    5. QUADRIYAH
    6. ELIZABETH
    7. JOSEPHINE
    8. JANET
    9. SASHA
    10. PRISCA
    11. ADELA
    12. JOYCE
    13. NYAMWIZA
    14. MAYA
    15. ADELAH
    16. ZAWAD
    17. GIFT
    18. SALIMA
    19. HALIMA
    20 ESTER
    21. ANNA
    22. ANASTAZIA
    23. SARAH
    24.
    POWER OF WOMAN ON NAMES?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!