Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Kesho Arusha, Kilimanjaro kuanza rasmi BVR
Habari za Siasa

Kesho Arusha, Kilimanjaro kuanza rasmi BVR

Spread the love

UBORESHAJI wa Daftari la Wapiga Kura kwa njia ya Kielektroniki (BVR), katika Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha unatarajia kuanza rasmi tarehe 18 Julai 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Hayo amesema Dk. Athumani Kihamia, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC) tarehe 15 Julai 2019 wakati alipohudhuria katika mafunzo ya waandikishaji wasaidizi wa zoezi hilo, jijini Arusha.

Dk. Kihamia amesema zoezi hilo katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha litafanyika kwa muda wa siku saba, na kutoa wito kwa wananchi wa mikoa hiyo kujitokeza kujiandikisha kwa kuwa siku hizo zikimalizika, NEC haitaongeza muda wa ziada.

Dk. Kihamia amesema baada ya zoezi hilo kukamilika katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha, litahamia katika mikoa mingine, na kwamba NEC itaendelea kutoa taarifa na ratiba ya uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa njia ya Kielektroniki (BVR).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveSERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the loveMFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

error: Content is protected !!