Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Karia athibitishwa Rais TFF
Michezo

Karia athibitishwa Rais TFF

Wallace Karia, Rais wa TFF
Spread the love

 

WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), wamemuthibitisha Wallace Karia kuendelea kuwa Rais wa shirikisho hilo kwa muhula wa pili wa miaka minne. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tanga … (endelea).

Karia alikuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo ya urais katika uchaguzi huo, unaofanyika leo Jumamosi, tarehe 7 Agosti 2021, jijini Tanga. Wajumbe hao wamepiga kura ya wazi.

Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi huo, Wakili Kilomoni Kibamba amewahoji wajumbe wa mkutano huo wanaompinga Karia hakuna aliyesimama.

Wakili Kilomoni amesema, wajumbe halali ni 80 ambao wote wamemthibitisha Karia kuendelea kuwa Rais wa TFF sawa na asilimia 100.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!