Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kamati Kuu CCM kukutana Dodoma
Habari za Siasa

Kamati Kuu CCM kukutana Dodoma

Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
Spread the love

 

KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumanne, tarehe 21 Juni 2022 inakutana jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Ukurasa wa kijamii wa Twitter wa CCM umesema, kikao hicho kitafanyikia jijini Dodoma na kuongozwa na mwenyekiti wake ambaye pia ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Agenda za kikao hicho hazijajulikana lakini chama hicho tawala kinakutana kipindi ambacho kuna fukuto ndani ya nchi mbili wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambazo ni Burundi na Rwanda.

Huenda chama hicho tawala kikazungumzia suala hilo na kulitolea taarifa ama kulijadili suala hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!