Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Jengo la Benjamin Mkapa lawaka moto
Habari MchanganyikoTangulizi

Jengo la Benjamin Mkapa lawaka moto

Spread the love

MOTO umezuka katika jengo la Benjamin Mkapa Tower lililopo maeneo ya Posta jijini Dar es Salaam katika ghorofa ya nne hali iliyosababisha kuzua taharuki kwa watu waliokuwa katika jengo hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Muda mchache baadan ya kutokea kwa moto huo ambao chanzo chake bado hakijafahamika, Kikosi cha Jeshi la Zimamoto kimefanikiwa kuuzima moto ambao madhara yake bado hayajafahamika.

Moto huo ambao umesababisha watu kukimbia huku na huko, inadaiwa baadhi wamekwama katika moja ya lifti katika jengo hilo.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!