Wednesday , 29 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Jengo la Benjamin Mkapa lawaka moto
Habari MchanganyikoTangulizi

Jengo la Benjamin Mkapa lawaka moto

Spread the love

MOTO umezuka katika jengo la Benjamin Mkapa Tower lililopo maeneo ya Posta jijini Dar es Salaam katika ghorofa ya nne hali iliyosababisha kuzua taharuki kwa watu waliokuwa katika jengo hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Muda mchache baadan ya kutokea kwa moto huo ambao chanzo chake bado hakijafahamika, Kikosi cha Jeshi la Zimamoto kimefanikiwa kuuzima moto ambao madhara yake bado hayajafahamika.

Moto huo ambao umesababisha watu kukimbia huku na huko, inadaiwa baadhi wamekwama katika moja ya lifti katika jengo hilo.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awataka wahariri kufanya kazi bila uoga, upendeleo

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yasaini mkataba wa bilioni 55.2 kuchoronga miamba GGML

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako...

Habari Mchanganyiko

Yara yaja na bima ya mazao kwa wakulima

Spread the love  WAKATI serikali ikiweka mikakati mbalimbali kuimarisha sekta ya kilimo...

error: Content is protected !!