Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Isaac Gamba afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Isaac Gamba afariki dunia

Spread the love

ALIYEWAHI kuwa Mtangazaji wa Radio One na ITV, ambaye baadaye alijiunga na Idhaa ya Kiswahili ya Ujerumani (DW), Isaac Gamba amefariki dunia mjini Bonn Ujerumani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mtangazaji huyo amekutwa amefariki nyumbani kwake na bado sababu za kifo chake hazijajulikana.

Taarifa za kifo cha Gamba zinasema kuwa marehemu hakutokea kazini kwake tangu siku ya Jumatatu hivyo wafanyakazi wake walianza kujenga mashaka ndiyo walipolazimika kumfuata anapoishi.

Imeeleza kuwa walipofika nyumbani kwake walikuta nyumba imefungwa ndiyo walipolazimika kuvunja mlango na kukuta amefariki.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

error: Content is protected !!