Monday , 5 June 2023
Home Habari Mchanganyiko IGP Sirro aanza na wauaji wa Pwani
Habari Mchanganyiko

IGP Sirro aanza na wauaji wa Pwani

Simon Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP)
Spread the love

SIMON Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) ameanza na kuwachimba mkwara mzito watu wanaoendesha mauaji ya viongozi wa serikali, chama na askari Mkuranga, Ikwiriri na Rufiji, anaandika Hamisi Mguta.

Ameyasema hayo na kuwahakikishia wananchi kwamba watu hao siku zao zinahesabika ikiwa ni mara yake ya kwanza kuzungumza tangu kukabidhiwa cheo cha IGP ambacho awali kilikuwa chini ya Ernest Mangu na kuwahakikishia wananchi kwamba siku zao zinahesabika.

Tazama video zaidi alichokizungumza hapa chini…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

Habari Mchanganyiko

Bandari ya Kigoma kuongezewa uwezo wa kutoa huduma zake

Spread the love  SERIKALI kupitia mamlaka ya Bandari nchini (TPA), imewekeza takribani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha mwanafunzi UDOM: Tume yamsafisha naibu waziri

Spread the loveTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini (THBUB),...

error: Content is protected !!