CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitisha Mkutano wa Baraza Kuu (BKT) ili ‘kukabiliana na Halima Mdee na wenzake. Anaripoti Yusuph Katimba, Dar es Salaam … (endelea).
Taarifa kutoka ndani ya chama hicho kikuu cha upinzani zinasema, sekretarieti ya chama hicho iliyokutana Dar es Salaam juzi, imepitisha mapendekezo kwa Kamati Kuu (CC) kwamba….
Kwa habari kamili soma gazeti la Raia Mwema la leo tarehe 12 Mei 2021.
Leave a comment