Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari Frankfurt mabigwa wapya wa Europe League
HabariMichezo

Frankfurt mabigwa wapya wa Europe League

Spread the love

 

Klabu ya soka ya Frankfurt ya nchini Ujerumani imefanikiwa kutwaa ubigwa wa Europa League msimu huu wa 2021/2022 baada ya jana kuifunga Rangers ya katika Fainali ya michuano hiyo. Anaripoti Damas Ndelema Tudarco ( endelea).

Fainali hiyo ilioisha kwa sare ya bao moja kwa moja kabla ya kwenda kwenye mda wa nyongeza na hatimae mikwaju ya penalti na Frankfurt kufanikiwa kuibuka na ushinda baada ya kufanga penalti tano na Rangers kukosa penalti moja aliyokosa kiungo wa zamani wa vilabu vya Arsenal na Juventus Aron Ramsey

BARCELONA, SPAIN – APRIL 14: Filip Kostic of Eintracht Frankfurt celebrates after scoring their sides first goal during the UEFA Europa League Quarter Final Leg Two match between FC Barcelona and Eintracht Frankfurt at Camp Nou on April 14, 2022 in Barcelona, Spain. (Photo by David Ramos/Getty Images)

Frankfurt walifika hatua hiyo ya Fainali baada ya kuitoa Barcelona na Westham katika hatua ya robo fainali na nusu fainali huku kwa upande wa Rangers walifika hatua hiyo kwa kuitoa Braga na Rb Leipzing

Fainali hiyo inakua fainali ya pili mfululizo kufika hadi kwenye changamoto ya mikwaju ya penalti baada ya fainali ya msimu uliopita kati ya Manchester United na Villareal kwenda hadi hatua ya penalti na Villareal kuibuka bigwa wa michuano hiyo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!