SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (Tanapa), leo Jumatatu tarehe 21 Machi 2022 limetangaza kifo cha Faru Rajabu mwenye umri wa miaka 43. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Taarifa ya Kamishna Msaidizi Mwandamizi- Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete amezungumzia kifo hicho kilichotokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu.
Leave a comment