Friday , 9 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Falsafa ya Askofu Bagonza kuzama kwa MV Nyerere
Habari MchanganyikoTangulizi

Falsafa ya Askofu Bagonza kuzama kwa MV Nyerere

Spread the love

ANAANDIKA Baba Askofu Dk. Benson Bagonza (PHD), Daktari wa Falsafa na Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.

MAPENZI YA MUNGU NA MAPENZI YETU

Siyo kila kifo ni mapenzi ya Mungu, hata kama Mungu anajua kila kifo. Sio kila ajali ni mapenzi ya Mungu hata kama Mungu anajua kila ajali, tukumbuke pia alimuacha mwana wake kuuawa hata kama alikuwa na uwezo wa kuzuia, alimwacha mwana wake kusalitiwa hata kama alikuwa na uwezo wa kumkomesha usaliti wake.

Hatua zote za maendelea zina ukurasa wa majanga, Dreamliner na Bombadier usiote janga lake, SGR janga lake ni kiama, Stiggler’s Gorge ina janga la kuangamiza mamilioni kwa siku moja kingo za bwawa zikipasuka, meli mpya ya abiria 2,000 ni kaburi la halaiki linaloelea majini.

Uwezo wetu upimwe kwa kushughulikia majanga si kwa kuchochea majanga, poleni wafiwa, ugueni pole majeruhi, tufarijiane watanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaTangulizi

Ngoma bado mbichi mkataba wa Bandari

Spread the love  SAKATA la mkataba wa uendeshaji, uendelezaji na uboreshaji wa...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mkataba unaweza kuvunjwa

Spread the loveMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mikataba ya utekelezaji bado haijasainiwa

Spread the loveMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),...

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi zaidi ya 100 wapigwa msasa wa udereva kukabiliana na ajali

Spread the love  KATIKA kuhakikisha wimbi la ajali za barabarani zinapungua kama...

error: Content is protected !!