Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Michezo Dortmund, Bayern vitan leo Bundesliga
Michezo

Dortmund, Bayern vitan leo Bundesliga

Spread the love

LIGI Kuu ya Ujerumani ‘Bundesliga’ kuendelea tena leo ambapo Borrusia Dortmund itawakaribisha klabu ya FC Bayern Munichen kwenye dimba la Signal Iduna Park katika kusaka alama tatu. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Mchezo huo ambao unavutia wapenzi wengi wa mpira wa miguu ulimwenguni kutokana na ubora wa vikosi vya timu zote mbili kwa sasa licha ya kutochezwa bila mashabiki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19.

Macho ya wengi katika mchezo wa leo yatakuwa kwa mshambuliaji kinda wa klabu ya Dortmund, Erling Haland (19) ambaye mpaka sasa ameshafunga mabao 13 toka alipojiunga na kikosi hicho kwenye dirisha dogo la usajiri akitokea klabu ya Red Bull Salzburg.

Mpaka sasa timu hizo zimekutana mara 103, Bayern imefanikiwa kushinda mara 48, huku Dortmund 26 na kwenda sare mara 26.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!