Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Diwani CCM Dar afariki dunia, kuzikwa Kisarawe
Habari za Siasa

Diwani CCM Dar afariki dunia, kuzikwa Kisarawe

Marehemu Karimu Madenge
Spread the love

 

DIWANI wa Buyuni (CCM), Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam, Karimu Madenge amefariki dunia jana Jumatano, tarehe 4 Agosti 2021, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Amana jijini Dar es Salaam baada ya kuumwa kwa muda mfupi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mwenezi wa chama hicho, Wilaya ya Ilala, Said Sidde amesema, Madenge atazikwa leo Alhamisi kijijini kwao Kibuta, Kisarawe mkoani Pwani.

Kabla ya mwili wa Madenge kupelekwa kuzikwa, taratibi zingine zitaanzia nyumbani kwake Buyuni jirani na ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Sidde aliwataka wanachama wa chama hicho, kushiriki katika msiba huo ikiwemo kuchukua tahadhari ya kuvaa barakoa kwa ajili ya kujikinga na corona.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!