Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko DART yataja sababu za uhaba wa mabasi
Habari Mchanganyiko

DART yataja sababu za uhaba wa mabasi

Spread the love

WAKALA wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) imekiri uwepo wa uhaba wa mabasi katika vituo vikuu vya Kimara na Gerezani. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kupitia taarifa iliyotolewa jana tarehe 26 Februari 2019 na DART inaeleza kuwa, uhaba wa mabasi katika mfumo ulianza tarehe juzi tarehe 25 Februari 2019.

Taarifa hiyo ilitaja sababu za uhaba huo, kwa kueleza kuwa unatokana na baadhi ya mabasi kufanyiwa matengenezo makubwa na madogo.

“Kupungua kwa idadi ya mabasi waweza kusababisha usumbufu kwa wateja wetu. Tunaomba wateja wetu kuwa na subira wakati mabasi hayo yanafanywa matengenezo, pia tunawaomba radhi wateja wetu kwa usumbufu ambao utakuwa umejitokeza,” ianeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!