Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Dakika 3 za Ali Kiba mbele ya Rais Samia
Michezo

Dakika 3 za Ali Kiba mbele ya Rais Samia

Ali Kiba
Spread the love

 

ALI Kiba, msanii wa muziki nchini Tanzania, ametumia takribani dakika tatu kutumbuiza mbele ya mamia ya wananchi wakiongozwa na Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Matlida Buguye, Dar es Salaam … (endelea).

Ametoa burudani hiyo asubuhi ya leo Jumanne, tarehe 14 Septemba 2021, katika Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma katika shughuli ya uzinduzi wa kitabu cha mkakati wa uelimishaji na uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, inayofanywa na Rais Samia.

Ali Kiba aliitwa jukwaani saa 4:45 asubuhi kutumbuiza na kuwaburudisha kwa wimbo wake mmoja wa Ndombolo huku akishangiliwa na mamia waliojitokeza uwanjani hapo. Saa 4:48 akashuka jukwaani.

Amepanda jukwaani akiwa ameshika bendera ya Tanzania huku akiwa amevalia mavazi meusi yaani shati na jeans.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!