Tuesday , 26 September 2023
Home Kitengo Michezo Dakika 3 za Ali Kiba mbele ya Rais Samia
Michezo

Dakika 3 za Ali Kiba mbele ya Rais Samia

Ali Kiba
Spread the love

 

ALI Kiba, msanii wa muziki nchini Tanzania, ametumia takribani dakika tatu kutumbuiza mbele ya mamia ya wananchi wakiongozwa na Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Matlida Buguye, Dar es Salaam … (endelea).

Ametoa burudani hiyo asubuhi ya leo Jumanne, tarehe 14 Septemba 2021, katika Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma katika shughuli ya uzinduzi wa kitabu cha mkakati wa uelimishaji na uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, inayofanywa na Rais Samia.

Ali Kiba aliitwa jukwaani saa 4:45 asubuhi kutumbuiza na kuwaburudisha kwa wimbo wake mmoja wa Ndombolo huku akishangiliwa na mamia waliojitokeza uwanjani hapo. Saa 4:48 akashuka jukwaani.

Amepanda jukwaani akiwa ameshika bendera ya Tanzania huku akiwa amevalia mavazi meusi yaani shati na jeans.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMichezo

Piga pesa kupitia Derby ya London Kaskazini kwa kubadhiri na Meridianbet

Spread the love NAJUA umesikia na unazijua Derby nyingi kutoka jiji la London,...

BiasharaMichezo

Wikiendi hii ushindi upo Meridianbet na si kwingine

Spread the love USHINDI huu ni wako mteja wa Meridianbet kama mechi...

BiasharaMichezo

Safari ya Gavi kutoka Academy ya Real Betis mpaka Barca

Spread the love  ANITWA Pablo Martín Páez Gavira ‘Gavi’, sasa ni mchezaji...

BiasharaMichezo

SBL yazindua Serengeti Oktoba Festival

Spread the love  KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) kupitia...

error: Content is protected !!