Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CUF kutoa tamko saa mbili zijazo
Habari za SiasaTangulizi

CUF kutoa tamko saa mbili zijazo

Maalim Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF.
Spread the love
BARAZA Kuu la Uongozi la CUF, linatarajia kutoa tamko la chama hicho baada ya saa mbili  zijazo.
Kwa muda huu wajumbe wa Baraza hilo  wanaendelea na kikao chao makao makuu  ya chama hicho mjini Zanzibar.

Kikao hicho kinakutana kujadili mgogoro uliojitokeza baada ya Profesa Lipumba kuwitumua wabunge wanane wa chama hicho.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!