Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Cristiano Ronaldo ruksa kuivaa Man United
Michezo

Cristiano Ronaldo ruksa kuivaa Man United

Spread the love

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) limethibitisha kumfungia mchezo mmoja wa Ligi ya Mabingwa mshambuliaji wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo baada ya kuoneshewa kadi nyekundu kwenye mchezo dhidi ya Valencia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Baada ya UEFA kutengua kadi hiyo mshambuliaji huyo ataukosa mchezo mmoja tu dhidi ya Young Boys Jumanne 2 Oktoba 2018 na hivyo atakuwa tayari kuivaa Manchester United katika mchezo wa klabu bingwa unaotarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Old Trafford Oktoba, 2018.

Ronaldo alipewa kadi hiyo baada ya kumvuta nywele mlinzi wa klabu ya Valencia, Jeison Murillo alipokuwa akimkaba na muamuzi kuamua kumchukulia hatua hizo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!