Monday , 29 May 2023
Home Kitengo Michezo Chirwa aibukia Azam FC
Michezo

Chirwa aibukia Azam FC

Spread the love

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Obrey Chirwa amejiunga rasmi na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa mwaka mmoja katika dirisha dogo la usajili akitokea Nagoom El Mostakbal FC ya Misri baada ya kuvunja mktaba wake. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)

Chirwa ambaye hapo awali alitaka kurudi kwenye klabu yake ya Yanga ila kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera aligomea swala hilo kwa sababu ya kumuona mchezaji huyo yupo kimaslahi zaidi.

Mshambuliaji huyo ambaye alikuwa kinara wa ufungaji ndani ya kikosi cha Yanga katika msimu wa 2017/18 anakwenda kuongeza nguvu ndani ya kikosi cha Azam FC ambacho kinaongozwa na kocha Hans Van Pluijm.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

NBC Dodoma Marathon yazinduliwa, wakiambiaji 6,000 kushiriki

Spread the loveBENKI ya NBC imetangaza kufanyika kwa mbio kubwa za NBC...

Michezo

Rais Samia anunua tiketi 5000 Yanga vs USM Alger

Spread the loveRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

Michezo

Mwenyekiti UVCCM anogesha nusu fainali Kimwanga CUP, Hawa Abdul Rede CUP kwa kishindo

Spread the loveHEKAHEKA za michuano ya kuwania kuingia fainali ya michuano ya...

Michezo

Yanga SC. yatwaa ubingwa wa pili mfululizo

Spread the love  KLABU ya Yanga SC imeweka rekodi ya kutwaa ubingwa...

error: Content is protected !!