Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wagombea ubunge 200 Chadema hawa hapa
Habari za SiasaTangulizi

Wagombea ubunge 200 Chadema hawa hapa

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimetoa orodha ya pili ya walioteuliwa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Orodha hiyo ya majina 37 ya ubunge wa Tanzania Bara, yametolewa leo Jumatano tarehe 12 Oktoba 2020 ikiwa ni siku nne zimepita tangu orodha ya kwanza ya majina 163 ilipotoka.

Kwa maana hiyo, Chadema imekwisha teua wagombea 200 kwa awamu ya kwanza na ya pili.

Jumla ya majimbo ya uchaguzi ni 264. Tanzania Bara ina majimbo 214 na Zanzibar 50.

Hii ina maana kwamba, Chadema bado haijateua wagombea 64 mpaka sasa.

Tayari shughuli ya uchukuaji wa fomu za kugombea udiwani na ubunge imeanza leo Jumatano na itahitishwa tarehe 25 Agosti 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!