Saturday , 3 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Wagombea ubunge 200 Chadema hawa hapa
Habari za SiasaTangulizi

Wagombea ubunge 200 Chadema hawa hapa

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimetoa orodha ya pili ya walioteuliwa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Orodha hiyo ya majina 37 ya ubunge wa Tanzania Bara, yametolewa leo Jumatano tarehe 12 Oktoba 2020 ikiwa ni siku nne zimepita tangu orodha ya kwanza ya majina 163 ilipotoka.

Kwa maana hiyo, Chadema imekwisha teua wagombea 200 kwa awamu ya kwanza na ya pili.

Jumla ya majimbo ya uchaguzi ni 264. Tanzania Bara ina majimbo 214 na Zanzibar 50.

Hii ina maana kwamba, Chadema bado haijateua wagombea 64 mpaka sasa.

Tayari shughuli ya uchukuaji wa fomu za kugombea udiwani na ubunge imeanza leo Jumatano na itahitishwa tarehe 25 Agosti 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Bosi NIC apandishwa kizimbani, akabiliwa na mashitaka 365

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

Habari za SiasaTangulizi

Zanzibar watangaza rasmi kuwa shamba la Razaba ni mali yao

Spread the love  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza rasmi kwamba shamba...

error: Content is protected !!