Friday , 29 March 2024

Michezo

Michezo

Michezo

Messi amponza Rais wa Soka Palestina, afungiwa miaka 12

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), kupitia kamati yake ya nidhamu imemfungia miaka 12, Rais wa Chama cha Soka cha Palestina, Jibfril...

Michezo

NACTE: Vyuo ndiyo wanachelewesha udahili elimu ya juu

BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevitaka vyuo na taasisi za elimu kutoa matokeo ya wahitimu wao mapema kwa ajili ya...

Michezo

TFF yapangua tena ratiba ya Ligi Kuu Bara

MICHEZO namba 14 na 19 ya Ligi Kuu Bara kati ya mabingwa watetezi Simba na Mbeya City na ule wa Azam FC dhidi...

Michezo

Yanga waanza kazi Ligi Kuu, yaichapa Mtibwa 2-1

YANGA SC imeanza vyema Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Taifa mjini...

Michezo

Dilunga, Feisal Toto waitwa Taifa Stars

KOCHA mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Emmanuel Amunike ameita kikosi cha wachezaji 24 kitakachoingia kambini hivi karibuni, kujiwinda na...

Michezo

TFF yateuwa waamuzi 82 kuchezesha Ligi Kuu

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), wamepitisha majina ya waamuzi 82, watakao chezesha michezo mbali mbali ya ligi kuu Tanzania bara katika...

Michezo

Wizara ya habari yamaliza mgogoro wa viwanja Mwenge

WIZARA ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imehamisha umiliki wa viwanja viwili kutoka Makonde kwenda kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) vilivyokuwa...

Michezo

Simba watwaa Ngao ya Jamii kwa mara ya nne

SIMBA wamefanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii kwa mara ya pili mfululizo baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa...

Michezo

DPP aendelea kuwasotesha Aveva na Kaburu

RAIS wa klabu ya Simba Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ wameendelea tena kusota mahakamani baada ya kusubiri kibali kutoka kwa...

Michezo

Okwi kuikabili Taifa Stars Septemba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Emmanuel Okwi, ameitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Uganda ‘The Crains’ kitakachowakabili timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ mchezo wa...

Michezo

Serikali ya Misri yawatoa kifungoni mashabiki

SERIKLI ya Misri kupitia Waziri wa Michezo, Ashraf Sobhy ametangaza rasmi kuwaruhusu mashabiki wa mpira wa miguu kuingia uwanjani katika michezo ya Ligi...

Michezo

Usajiri wamrudisha Van Der Sar Manchester

EDWIN Van Der Sar, mlinda mlango wa zamani wa Manchester United ni moja kati ya majina matatu yaliotajwa kuja kukalia kiti cha Mkurugenzi...

Michezo

Salah mikononi kwa Polisi

MSHAMBULIAJI wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohammed Salah ameingia matatizoni na polisi wa Merseyside baada ya kuibuka kwa video mitandaoni...

Michezo

Simba, Yanga zapanguliwa ratiba Ligi Kuu

BODI ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania imefanya mabadiliko ya ratiba ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni wiki mbili kabla ya...

Michezo

Makambo ruksa kuivaa USM Alger

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Heritier Makambo amepewa ruhusa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika ‘CAF’ kuitumikia klabu hiyo katika mchezo wa Kombe...

MichezoTangulizi

Polisi wajichunguza tuhuma za kumpiga mwandishi

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limesema linalaani vikali tukio linalosambaa mtandaoni la kupigwa kwa mwandiishi wa habari wa Wapo Radio...

Michezo

Hans Poppe kuondolewa kwenye kesi ya Aveva, Kaburu

HAKIMU mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Thomas Simba ametoa siku saba kwa upande wa Jamhuri kubadilisha hati ya mashtaka ili kuwaondoa kwenye kesi...

Habari za SiasaMichezo

TEF, TFF wapinga wanahabari kushambuliwa

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limelaani kitendo cha Jeshi la Polisi kumfungulia Mwanahabari wa gazeti la Tanzania Daima, Sitta Tuma mashitaka ya kuandamana...

MichezoTangulizi

Diamond azua kizaazaa msiba wa King Majuto

MWANAMUZIKI wa kizazi kipya Nasibu Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnum leo tarehe 9 Agosti, 2018 amezua kizaazaa kwenye msiba wa Amri...

MichezoTangulizi

Magufuli, Kikwete wamuaga Mzee Majuto Karimjee

RAIS wa Tanzania, John Magufuli na Rais mstaafu Jakaya Kikwete amewaongoza mamia ya watanzania kuaga mwili wa marehemu muigizaji wa vichekesho Amri Athumani...

Michezo

Niyonzima azua taharuki Simba

KIUNGO wa Simba Haruna Niyonzima amezua taharuki na hali ya sintofahamu kwa mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo baada ya kutoonekana jana katika...

MichezoTangulizi

Mzee Majuto afariki dunia

MUIGIZAJI maarufu Amir Athuman (Mzee Majuto) amefariki dunia usiku huu kwenye Hospital ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akitibiwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Michezo

Timu za CECAFA U-17 zawasili, kupimwa umri Muhimbili

IKIWA zimebaki siku tatu kabla ya michuano ya vijana ya kufuzu fainali za Afrika chini ya umri wa miaka 17, katika ukanda wa...

Michezo

Simba watangaza viingilio vya ‘Simba Day’

MABINGWA wa Tanzania Bara Simba kupitia mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano wao Haji Manara wametangaza vingilio katika tamasha lao kubwa la...

Michezo

CAF yawatoa kifungoni waamuzi wa Tanzania

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Africa (CAF) limetoa majibu ya uchunguzi wa waamuzi wanne wa Tanzania waliofikishwa kwenye Shirikisho hilo kufuatia kuripotiwa kwa...

Michezo

Mzee Majuto alazwa tena Muhimbili

MFALME wa maigizo ya uchekeshaji nchini, Amri Athuman anayefahamika kama ‘Mzee Majuto’ amelazwa chumba cha wagonjwa mahtuti (ICU) kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili....

Michezo

Yanga kumuaga rasmi Canavaro Agosti 12

ALIYEKUWA nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ”Cannavaro” anatarajiwa kuagwa rasmi ndani ya klabu hiyo tarehe 12 Agosti, 2018 kwa mchezo maalumu wa kirafiki...

Michezo

Simba kukipiga na Asante kotoko kutoka Ghana

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzani Bara, Simba wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko kutoka Ghana katika maadhimisho ya siku ya...

Michezo

Mkwasa kwenda India kwa Matibabu

ALIYEKUWA katibu mkuu wa klabu ya Yanga na kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa amesafiri jana kuelekea...

Michezo

Biashara yampeleka Ally Kiba Coastal Union

NI wazi kuwa klabu ya Coastal Union imemsajili Msanii maarufu nchini Ally Kiba kwa sababu za kibiashara zaidi na uwezo wa staa huyo...

Michezo

Yanga yawatema makinda, mafaza

BAADA ya dirisha la usajiri kufungwa jana majira ya saa sita usiku, klabu ya Yanga imetoa orodha ya wachezaji tisa ambao hawatotumikia timu...

Michezo

Yanga yazinduka jioni

IKIWA yamebakia masaa machache kabla ya dirisha la usajiri la Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na ligi daraja la kwanza hatimaye klaba ya...

Michezo

Kinda wa Leicester City yaiongeza nguvu Serengeti Boys

MTANZANIA anayechezea klabu ya Leicester City, Ben Antony Starkie anatarajiwa kutua leo nchini 26 Julai, 2018 kujiunga na kambi ya timu ya taifa...

Michezo

Dirisha la Ligi Kuu kufungwa leo, TFF watoa onyo

KUELEKEA kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa angalizo kwa klabu zinazoshiriki ligi kuu na...

Michezo

Manara ang’aka Simba kupigwa sita Uturuki

MSEMAJI wa Simba, Haji Manara amewashutumu vikali chombo cha Habari cha Clouds FM, kwa kutangaza taarifa za uongo kuhusu klabu ya Simba kucheza...

Michezo

FIFA yatangaza orodha watakaowania tuzo ya mchezaji bora

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limeweka hadharani orodha ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa Dunia kwa mwaka 2018,...

Michezo

Omary Kaaya Katibu mkuu mpya Yanga

KIKAO cha dharula kilichofanywa na Kamati ya Utendaji na Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Yanga imemteua na kumtangaza Omar Kayaa kuwa Katibu...

Michezo

Yanga wazidi kupukutika

MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya uongozi ndani ya klabu hiyo kutokana na kusambaa kwa kipande cha video...

Michezo

MO Dewji awaombea mema Yanga

MWEKEZAJI wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ amewataka wanachama na viongozi wa klabu ya Yanga kuungana upya, ili kuinusulu klabu katika kipindi...

Michezo

TFF wazikumbusha klabu zisizokamilisha usajili wa kieletroniki

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linavikumbusha klabu za Ligi Kuu, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili ambavyo havijafanya...

Michezo

Yajayo Yanga yanasikitisha

MPAKA sasa bado siku tano dirisha la usajili lifungwe, Yanga haijasajili mchezaji mwenye hadhi yake, ambaye angeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha...

Michezo

Wema Sepetu ahukumiwa mwaka mmoja jela au faini

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kulipa faini ya Sh 1Milioni kwa kila kosa au kwenda jela mwaka...

MichezoTangulizi

Kocha Mpya wa Simba aichokonoa Yanga

KLABU ya Simba imemtangaza rasmi Kocha wake Mpya, Mbelgiji Patrick Aussems ambaye ametoa maneno ambayo mashabiki wa klabu ya Yanga hawatapoenda kutasikia. Anaripoti...

Michezo

Cristiano Ronaldo apima afya Juventus

MCHEZAJI bora Dunia, Cristiano Ronaldo anafanyiwa vipimo vya Juventus kabla ya kukamilisha uhamisho wake wa pauni 100 milioni wa kujiunga na miamba hiyo...

Michezo

Pluijm apewa mkataba wa mwaka mmoja Azam

KLABU ya Azam FC imemtambulisha rasmi, Hans van der Pluijm kama kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya kusaini mktaba wa mwaka mmoja...

MichezoTangulizi

Afrika wawaachia wenye mpira wao

KOMBE Dunia linaingia katika hatua ya mtoano bila kuwa na timu kutoka Bara la Afrika, baada timu zote tano kutolewa hatua ya makundi....

Michezo

Simba, Yanga wakutanishwa mapema Kagame

MAHASIMU wa soka Tanzania, Simba na Yanga watakutanishwa mapema katika michuano ya Kombe la Kagame, linalotarajiwa kutimua vumbi nchini kuanzia Juni 28 hadi...

Habari MchanganyikoMichezo

Babu Tale ashindwa kulipa deni, alala sero

MENEJA wa msanii wa muziki wa Bongo fleva, Nasib Abdul ‘Diamond,’ Hamis Tale ‘Babu Tale’ amepelekwa rumande baada ya kushindwa kulipa fedha kama...

MichezoTangulizi

Mahakama Kuu yamtoa gerezani Lulu

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imembadilishia kifungo Msanii wa Filamu, Elizabeth Micheal ‘Lulu’ kutoka kwenye kifungo cha Magereza na kutumikia kifungo...

MichezoTangulizi

Hans Poppe aongezwa kwenye kesi ya Aveva, Kaburu

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, ameongezwa katika kesi ya tuhuma za kughushi nyaraka na kujipatia fedha inayowakabili Rais...

error: Content is protected !!