Michezo
KAMATI ya uendeshaji Ligi Kuu Tanzania Bara (kamati ya saa 72) imezitoza faini klabu za Simba na Yanga kwa makosa ya kutumia milango...
By Kelvin MwaipunguMarch 11, 2019KUELEKEA mchezo wa klabu bingwa barani Afrika dhidi AS Vital kutoka nchini Congo, msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara amewataka mashabiki wa...
By Faki SosiMarch 11, 2019BAADA ya kupoteza kwa bao 1-0 mbele ya Guinea kwenye mchezo wa kwanza wa kundi A, timu ya taifa ya vijana Serengeti Boys...
By Kelvin MwaipunguMarch 5, 2019BODI ya Kimataifa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (IFAB) imefanya mabadiliko ya kanuni ya mchezo wa soka kwenye kikao kilichofanyika wiki iliyopita...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2019TIMU ya taifa ya vijana umri chini ya miaka 17 Serengeti boys wanatarajia kucheza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Guinea katika michuano...
By Kelvin MwaipunguMarch 4, 2019JESHI la Polisi limeanza kumhoji msanii Godfrey Tumani maarufu kama ‘Dudubaya’ kufuatia tuhuma zinazomkabili za kumdhihaki aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds...
By Regina MkondeFebruary 28, 2019HARRISON Mwakyembe, Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo ameliagiza Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kumchukulia hatua msanii, Godfrey Tumaini maarufu kama...
By Regina MkondeFebruary 27, 2019KIPIGO cha mabao 3-1 waliofungwa na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kimesababisha klabu ya Azam FC kuachana na kocha wake,...
By Kelvin MwaipunguFebruary 23, 2019MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga, anaumizwa na tabia ya wana Yanga kushindwa kuisaidia klabu yao, na sasa ataondoka. Anaripoti Mwandishi Maalum...
By Mwandishi MaalumFebruary 22, 2019BAADA ya kupata ushindi wa mabao 2-1 klabu ya soka ya Yanga kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuondoka na pointi 3 mbele ya...
By Kelvin MwaipunguFebruary 20, 2019SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limetangaza kamati ya watu 14 yenye lengo la kuisaidia timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa...
By Kelvin MwaipunguFebruary 20, 2019BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga, kocha mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amedai kuwa klabu yake ilistahili kushinda...
By Kelvin MwaipunguFebruary 16, 2019KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake Wakili, Kiomoni Kibamba imeridhia ombi la Yanga kuahirisha...
By Kelvin MwaipunguFebruary 15, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali pingamizi la upande wa utetezi kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Makamu wa Rais wa...
By Faki SosiFebruary 14, 2019BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Ahly kwenye mchezo wa Klabu Bingwa barani Afrika hatua ya makundi, Kocha...
By Kelvin MwaipunguFebruary 13, 2019BAO la Meddy Kagere katika dakika ya 64 ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika kati ya Simba dhidi ya Al Ahly kutoka Misri...
By Kelvin MwaipunguFebruary 12, 2019MICHAEL Richard Wambura, aliyepata kuwa Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), amepandishwa kizimbani jijini Dar es Salaam. Ameshitakiwa kwa...
By Faki SosiFebruary 11, 2019SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limetangaza viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu unaowakutanisha watani wa jadi Yanga na Simba utakaochezwa...
By Kelvin MwaipunguFebruary 11, 2019Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Simba na mwekezaji mkuu wa timu hiyo Mohammed Dewji ‘MO’ ametangaza kiingilio cha shilingi 2000,...
By Kelvin MwaipunguFebruary 8, 2019MSHAMBULIAJI Dickson Ambundo wa klabu ya Alliance Accademy na Kocha Mkuu wa KMC, Etiene Ndayiragije wameibuka vinara kwenye tuzo za mwezi Januari zinazotolewa...
By Kelvin MwaipunguFebruary 8, 2019NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza amesema, Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA) haliwezi kupokea moja kwa moja fedha...
By Regina MkondeFebruary 7, 2019BAADA ya kupoteza mchezo wao wa pili mfululizo kwa kufungwa 5-0 na Al Ahaly ya Misri mwishoni mwa wiki, katika michuano ya Klabu...
By Kelvin MwaipunguFebruary 4, 2019KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya huenda akatimka ndani ya klabu yake muda mchache ujao na kujiunga na timu ya Pharco inayoshiriki ligi...
By Kelvin MwaipunguJanuary 31, 2019UONGOZI wa klabu ya Yanga umekili kupokea barua kutoka kwa mwanasheria wa mlinda mlango wao Benno Kakolanya kutaka kuvunja mkataba na timu hiyo...
By Kelvin MwaipunguJanuary 30, 2019SIMBA imeondoshwa katika michuano Sport Pesa baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Bandari FC ya Kenya katika mchezo wa nusu...
By Kelvin MwaipunguJanuary 25, 2019KLABU ya Mbao FC imefanikiwa kuiondoa timu ya FC Gor Mahia kutoka Kenya kwenye michuano ya kombe la Sport Pesa kwa njia ya...
By Kelvin MwaipunguJanuary 23, 2019BAADA ya timu zote mbili kupoteza michezo yao siku ya Jumamosi wakiwa ugenini, zote zimerudi jijini Dar es Salaam kujiandaa na michuano ya...
By Masalu ErastoJanuary 21, 2019KIPIGO cha bao 3-0 kutoka kwa Simba, kimemvuruga Kocha Mkuu wa JS Saoura, Nabil Neghiz, hali iliyompelekea kushusha lawama kwa mwamuzi wa mchezo...
By Kelvin MwaipunguJanuary 12, 2019KAMATI ya Uchaguzi kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), umesoga mbele uchaguzi wa klabu ya Yanga uliokuwa ufanyike siku ya kesho...
By Kelvin MwaipunguJanuary 11, 2019KUELEKEA uchaguzi mkuu wa klabu ya Yanga 13 Januari, 2019 Kamati ya Uchaguzi ambayo ipo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania...
By Kelvin MwaipunguJanuary 8, 2019KOCHA mkuu wa klabu ya Simba Patrick Aussems ameonekana kutovutiwa na maandalizi ya timu yake visiwani Zanzibar katika kuelekea mchezo wa hatua ya...
By Kelvin MwaipunguJanuary 5, 2019MSHAMBULIAJI wa timu ya Yanga ya Dar es Salaam, Heritier Makambo amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu Tanzania Bara...
By Kelvin MwaipunguJanuary 4, 2019KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amemvua unahodha, Kelvin Yondani kutokana na mchezaji huyo kutofika mazoezini bila taarifa yoyote, nafasi yake kuchukuliwa na ...
By Kelvin MwaipunguJanuary 4, 2019MWAKA 2018 unafikia tamati, katika miezi 12 inayokamilika leo wapo watu wanauaga mwaka kwa machungu yasiyosahaulika kwenye maisha yao milele lakini wapo wanaouona...
By Kelvin MwaipunguDecember 31, 2018KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems amsema kuwa bado timu yake inanafasi ya kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya...
By Kelvin MwaipunguDecember 29, 2018SHABIKI wa Inter Milan amepoteza maisha na wengine wanne kujeruhiwa katika mchezo dhidi ya FC Napol uliopigwa kwenye uwanja wa San Siro baada...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2018MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi inatarajia kuanza kuchezwa Januari Mosi, 2019 na kumalizika Januari 13, visiwani Zanzibar ambayo itahusisha timu tisa ambazo zitawekwa...
By Kelvin MwaipunguDecember 27, 2018BAADA ya kusajiriwa kwenye dirisha dogo la usajiri kutokea klabu ya African Lyion mchezaji Haruna Moshi ‘Boban’ (31) leo amejumuishwa kwenye kikosi cha...
By Kelvin MwaipunguDecember 24, 2018BAADA ya Simba hapo jana kufanikiwa kuibuka ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FCkutoka Zambia, kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es...
By Kelvin MwaipunguDecember 24, 2018MSHAMBULIAJI wa Singida United na timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 23, Habib Kyombo amefuzu majaribio ya kucheza soka...
By Kelvin MwaipunguNovember 30, 2018WACHEZAJI Yanga wamelazimika kuingia uwanjani kupambana na JKT Tanzania bila kula chakula cha mchana kutokana na mabadiliko ya muda wa mchezo huo. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguNovember 29, 2018MCHEZAJI Zana Coulibaly raia wa Burkina Faso anatarajia kutua leo nchini kwa ajili ya kukamilisha taratibu za usajili na Simba akitokea timu ya...
By Kelvin MwaipunguNovember 28, 2018KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Tigo Fiesta 2018 imesitisha tukio la kilele cha msimu wa tamasha hilo lililopaswa kufanyika leo tarehe 24...
By Regina MkondeNovember 24, 2018YUSUF Manji, anayejitambua kama Mwenyekiti wa Yanga, anatarajia kuongoa Mkutano Mkuu wa dharura wa klabu hiyo unaotarajia kufanyika kesho, ambao mpaka sasa haujafahamika...
By Kelvin MwaipunguNovember 23, 2018WANACHAMA na mashabiki wa Yanga sasa wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kuishi maisha bila Yusuf Manji baada ya jina la mwenyekiti huyo kutokuwapo miongoni mwa...
By Kelvin MwaipunguNovember 21, 2018BAADA ya kutoka kwa orodha ya wachezaji watakao wania tuzo za BBC ya Mchezaji wa bora wa kandanda barani Afrika mwaka 2018, nafasi...
By Kelvin MwaipunguNovember 19, 2018KLABU ya Azam FC imethibitisha kuwa mpaka sasa hawajafanya mazungumzo yoyote na Haruna Niyonzima ambaye ni mchezaji wa timu ya Simba baada ya...
By Kelvin MwaipunguNovember 16, 2018MKUFUNZI wa zamani wa Leicester City, Claudio Ranieri ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa klabu ya Fulham inayoshiriki Ligi Kuu ya England mara baada ya...
By Kelvin MwaipunguNovember 14, 2018KLABU ya Yanga kupitia kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wameanza zoezi la uchukuaji fomu kwa ajili ya...
By Kelvin MwaipunguNovember 9, 2018MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba watamenyana dhidi ya Mbabane Swallows katika hatua ya awali ya michuano ya Ligi ya Klabu Bingwa...
By Kelvin MwaipunguNovember 9, 2018