Thursday , 30 March 2023

Michezo

Michezo

Michezo

Cristiano Ronaldo ruksa kuivaa Man United

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) limethibitisha kumfungia mchezo mmoja wa Ligi ya Mabingwa mshambuliaji wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo baada ya...

Michezo

Amunike amtosa Kichuya, awarudisha nyota wa Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Emmanuel Amunike ametangaza majina ya wachezaji 30 watakaoingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na mchezo...

Michezo

Barcelona, Madrid, Liverpool waonja joto la jiwe

MICHEZO mbalimbali iliendelea jana barani Ulaya kwa kushuhudia magwiji wa tatau Liverpool, Barcelona na Real Madrid wakikubali kupokea vichapo ambavyo viliwashangaza wadau wengi...

Michezo

Mwamuzi Simba vs Yanga huyu hapa

JONESIA Rukyaa kutoka Kagera ametangazwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kuwa mwamuzi wa kati kwenye mechi ya Simba na Yanga...

Michezo

Messi, Ronaldo wamekosa nidhamu

KITENDO cha Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kutotokea kwenye hafla ya utoaji tuzo ya Mchezaji Bora wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani...

Michezo

Kadi zawaondoa Fei Toto, Bocco mchezo wa Simba, Yanga

KUELEKEA mchezo utakaowakutanisha watani wajadi Simba na Yanga, Septemba 30, 2018 wachezaji tegemeo kwa vikosi vyote viwili Feisal Salumu ‘Fei Toto’ wa Yanga...

Michezo

Fellaini ashika namba nne kulipwa mshahara mnono Man United

KIUNGO wa Manchester United ambaye ni raia wa Ubelgiji, Marouane Fellaini, ameongezewa mshahara unaomfanya ashike namba nne kati ya wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa...

Michezo

Anthony Joshua aendeleza rekodi ya kibabe

BONDIA wa Uingereza, Anthony Joshua (28), usiku wa kuamkia Jumapili Septemba 23, 2018, ameendeleza ubabe kwa kumtwanga Alexander Povetkin (39) kwa KO (Knock...

Michezo

Rais CAF aguswa na ajali ya MV Nyerere

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Ahmad Ahmad kupitia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ametuma salamu...

Michezo

Wamiliki Simba kufanya maamuzi magumu

BAADA ya kutokuwa na mwenendo mzuri wa matokeo katika michezo miwili ya Ligi kuu Tanzania Bara, Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba inatarajia...

Michezo

Yondani kuikosa Singida United

BEKI wa Yanga, Kelvin Yondani ataukosa mchezo Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida United unaotarajia kuchezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam...

MichezoTangulizi

Huwezi kujua kesho ya mpinzani wako

SITAKI kumtetea Patrick Aussems na wala sitaki kusimama upande wa Masoud Djuma lakini najisikia kusema jambo dogo tu baada ya dakika 90 pale...

Michezo

Yanga yawaondoa wanne kikosini

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amewaondoa kikosini wachezaji Haji Mwinyi, Ramdhani Kabwili, Pius Buswita na Said Makapu kutokana na sababu za utovu...

Michezo

Uchaguzi wa Simba wapigwa Stop

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake, Wakili Revocatus Kuuli imetangaza kuusimamisha Uchaguzi Mkuu wa...

Michezo

TAKUKURU wamsaka Hans Pope, kisa nyasi bandia

TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU imetangaza rasmi kumtafuta aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajiri ya Simba, Zacharia Hans Pope baada...

Michezo

Kuwaona Makambo, Kagere buku saba

KUWAONA washambuliaji wawili Meddie Kagere wa Simba na Heritier Makambo wa Yanga wawili hao wataonyeshana ubabe Septemba 30, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar...

Michezo

Mwina Kaduguda aitaka tena Simba

BAADA kukamilika kwa zoezi la uchukuaji fomu kuwania uongozi ndani ya klabu ya Simba, kamati ya uchaguzi ndani ya klabu hiyo imetoa orodha...

Michezo

Meneja wa Simba atupwa ‘jela’ ya soka

KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Mpira Miguu Tanzania (TFF) kupitia mwenyekiti wake Hamidu Mbwezeleni imemfungia Meneja wa Simba, Robert Richard kutojihusisha na...

Michezo

Amunike bado awapa nafasi wachezaji wa Simba

KATIKA keulekea mchezo dhidi ya Uganda unaotarajia kuchezwa Septemba 8, 2018 Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Emannuel Amunike...

Michezo

Kiungo Yanga awapa wakati mgumu mashabiki

KUMEKUWA na hali ya sintofahamu toka kwa mashabiki na wanachama wa Yanga juu ya kiungo aliyesajiliwa msimu akitokea Mtibwa Sugar, Mohamed Banka kutoonekana...

Michezo

Ngoma aendelea kuitia hasara Azam FC

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Donald Ngoma bado ataendelea kuwa nje ya uwanja baada ya kuendelea kutibu jeraha lake la goti lililomsumbua kwa muda...

Michezo

TFF wawatia kitanzi waamuzi wanne

SHIRIKISHO la mpira wa miguu Tanzania TFF, kupitia kamati yake ya uendeshaji wa ligi (Kamati ya Masaa 72) iliyokaa jumamosi imewatia hatiani waamuzi...

Michezo

Mbeya City yaendelea kupata tabu Ligi Kuu

TIMU ya Mbeya City imeendelea kupata tabu katika Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kupoteza mchezo wa tatu mfululizo dhidi ya Mtibwa Sugar...

Michezo

Klopp awagwaya Leicester City

MENEJA wa klabu ya Liverpool, Jurgen Klopp ameonekana kuwahofia dhidi klabu ya Leicester City katika kuelekea kwenye mchezo wao wa ligi kuu nchini...

Michezo

Amunike kuwapa nafasi nyingine nyota wa Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars, Emmanuel Amunike  ametoa msamaha kwa wachezaji wa watano wa Simba na mmoja wa...

Michezo

Zawadi ya mshindi wa Ligi Kuu bado ipo gizani

SHIRIKISHO la mpira wa miguu Tanzania (TFF), kupitia katibu mkuu wake Wilfred Kidao imesema mpaka sasa hawajajua watatoa zawadi ipi kwa bingwa wa...

Michezo

Yanga, Gor Mahia ‘OUT’ Kombe la Shirikisho

BAADA ya kumalizika kwa michezo ya kundi D, ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika hatimaye klabu za Yanga na Gor Mahia...

Michezo

Mo Salah aiwekea masharti Misri ili aitumikie timu ya Taifa

MSHAMBULIAJI wa Livepool na timu ya Taifa ya Misri, Mohamed Salah amekipa masharti Chama cha Mpira wa Miguu Misri (EFA) ambayo wakishindwa kuyatimiza...

MichezoTangulizi

Amunike awatimua wachezaji wa Simba Taifa Stars

KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Emmanuel Amunike amewaondoa wachezaji sita wa klabu ya Simba waliokuwa wameitwa kwenye timu hiyo...

Michezo

Kamati ya waamuzi yasimamisha watano

KAMATI ya Waamuzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia kwa Mwenyekiti wake, Mzee Salum Chama imewasimamisha baadhi ya waamuzi ambao wamefanya vibaya...

Michezo

Makapu afiwa na mama yake mzazi, aachwa Dar

SAID Juma Makapu amefiwa na mama yake mzazi nyumbani kwao Zanzibar, hivyo kusababishwa kuondolewa katika orodha ya wachezaji wa Yanga wanaosafiri kuelekea nchini...

Michezo

Basila aahidi zawadi ya uhakika kwa mshindi

BASILA Mwanukizi, Mkurugenzi wa kampuni ya Look LTD ambao ni waandaaji wapya wa Shindano la Miss Tanzania kwa mwaka 2018 amesema kuwa atahakikisha...

Michezo

Messi, Ramos kukinukisha Hispania

LIONEL Messi, nahodha wa Bacelona na Sergio Ramos wa Real Madri ndio vinara wa kuongoza mgomo kupinga La Liga kuchezwa Marekani. Anaandika Kelvin...

Michezo

Messi amponza Rais wa Soka Palestina, afungiwa miaka 12

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), kupitia kamati yake ya nidhamu imemfungia miaka 12, Rais wa Chama cha Soka cha Palestina, Jibfril...

Michezo

NACTE: Vyuo ndiyo wanachelewesha udahili elimu ya juu

BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevitaka vyuo na taasisi za elimu kutoa matokeo ya wahitimu wao mapema kwa ajili ya...

Michezo

TFF yapangua tena ratiba ya Ligi Kuu Bara

MICHEZO namba 14 na 19 ya Ligi Kuu Bara kati ya mabingwa watetezi Simba na Mbeya City na ule wa Azam FC dhidi...

Michezo

Yanga waanza kazi Ligi Kuu, yaichapa Mtibwa 2-1

YANGA SC imeanza vyema Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Taifa mjini...

Michezo

Dilunga, Feisal Toto waitwa Taifa Stars

KOCHA mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Emmanuel Amunike ameita kikosi cha wachezaji 24 kitakachoingia kambini hivi karibuni, kujiwinda na...

Michezo

TFF yateuwa waamuzi 82 kuchezesha Ligi Kuu

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), wamepitisha majina ya waamuzi 82, watakao chezesha michezo mbali mbali ya ligi kuu Tanzania bara katika...

Michezo

Wizara ya habari yamaliza mgogoro wa viwanja Mwenge

WIZARA ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imehamisha umiliki wa viwanja viwili kutoka Makonde kwenda kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) vilivyokuwa...

Michezo

Simba watwaa Ngao ya Jamii kwa mara ya nne

SIMBA wamefanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii kwa mara ya pili mfululizo baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa...

Michezo

DPP aendelea kuwasotesha Aveva na Kaburu

RAIS wa klabu ya Simba Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ wameendelea tena kusota mahakamani baada ya kusubiri kibali kutoka kwa...

Michezo

Okwi kuikabili Taifa Stars Septemba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Emmanuel Okwi, ameitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Uganda ‘The Crains’ kitakachowakabili timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ mchezo wa...

Michezo

Serikali ya Misri yawatoa kifungoni mashabiki

SERIKLI ya Misri kupitia Waziri wa Michezo, Ashraf Sobhy ametangaza rasmi kuwaruhusu mashabiki wa mpira wa miguu kuingia uwanjani katika michezo ya Ligi...

Michezo

Usajiri wamrudisha Van Der Sar Manchester

EDWIN Van Der Sar, mlinda mlango wa zamani wa Manchester United ni moja kati ya majina matatu yaliotajwa kuja kukalia kiti cha Mkurugenzi...

Michezo

Salah mikononi kwa Polisi

MSHAMBULIAJI wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohammed Salah ameingia matatizoni na polisi wa Merseyside baada ya kuibuka kwa video mitandaoni...

Michezo

Simba, Yanga zapanguliwa ratiba Ligi Kuu

BODI ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania imefanya mabadiliko ya ratiba ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni wiki mbili kabla ya...

Michezo

Makambo ruksa kuivaa USM Alger

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Heritier Makambo amepewa ruhusa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika ‘CAF’ kuitumikia klabu hiyo katika mchezo wa Kombe...

MichezoTangulizi

Polisi wajichunguza tuhuma za kumpiga mwandishi

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limesema linalaani vikali tukio linalosambaa mtandaoni la kupigwa kwa mwandiishi wa habari wa Wapo Radio...

Michezo

Hans Poppe kuondolewa kwenye kesi ya Aveva, Kaburu

HAKIMU mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Thomas Simba ametoa siku saba kwa upande wa Jamhuri kubadilisha hati ya mashtaka ili kuwaondoa kwenye kesi...

error: Content is protected !!