Tuesday , 23 April 2024

Michezo

Michezo

Michezo

Yanga kuwakosa nyota watano wakiivaa Coastal Union

  KOCHA wa Yanga, Cedric Kaze amesema atawakosa wachezaji watano kuelekea mchezo wa leo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union....

Michezo

Majizo amkingia kifua Lulu “aliambiwa ana uchumba sugu”

  FRANCIS Ciza maarufu Majizo, amejitokeza kumzungumzia mke wake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa uvumilivu aliouonyesha wakati wa uchumba wao na hatimaye ndoa. Anaripoti...

Michezo

Monalisa awa msemaji wa Simba Queen

  KLABU ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, imemtangaza muigizaji maarufu nchini humo, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ kuwa msemaji wa timu ya...

Michezo

Manula arejea kikosini

  MLINDA mlango wa klabu ya Simba na timu ya Taifa ya Tanzania Aishi Manula emerejea kwenye kikosi cha klabu yake hii leo...

Michezo

Morrison aachwa safari ya Sudan

  KLABU ya Simba itaondoka nchini leo kuelekea Khartoum, Sudan kuwavaa El Merreikh kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa tarehe 6...

Michezo

Yanga yaapa kuvunja mwiko Mkwakwani

  KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga, kikosi cha Yanga kimejipanga kuvunja mwiko ya kutopata...

MichezoTangulizi

Simba yaichapa Jkt, Yaisogelea Yanga

  USHINDI wa mabao matatu walioupata Simba dhidi ya JKT Tanzania, ulitosha kuwafanya kuibuka na pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...

Michezo

Bumbuli huru, ashinda rufaa yake

  AFISA habari wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli ameshinda rufaa yake mara baada ya kufungiwa miaka mitatu kujihusisha na masuala ya mpira...

Michezo

Manchester United kuivaa AC Milani, 16 bora Europa

  KLABU ya Manchester United itavaana na AC Milan kwenye hatua ya 16 ya michuano ya Kombe la Europa baada ya kuchezeshwa kwa...

Michezo

Poulsen awabakisha Mgunda, Matola Taifa Stars

  KIM Poulsen, kocha mpya wa Taifa Stars amelibakisha benchi lote la ufundi lilokuwa likitumiwa na Ettienne Ndayilagije wakiwemo makocha wasaidizi Selamani Matola...

Michezo

Kim awarudisha Yondani na Kessy Taifa Stars

  KOCHA mkuu wa kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Poulsen ameita jumla ya wachezaji 43 watakao ingia kambini...

Michezo

Namungo yafuzu makundi, yakubali kipigo bao 3-1

  LICHA ya kupoteza kwa mabao 3-1, kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Costo De Agosto...

Michezo

Kim Poulsen kutangaza kikosi cha Stars

  KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Poulsen anatarajia kutangaza kikosi chake kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi dhidi...

Michezo

Waziri Bashungwa aitaka CCM kuwekeza kwenye michezo

  WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Innocent Bashungwa amekitaka Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwekeza kwenye michezo kwa kuwa inamiliki asilimia kubwa...

KimataifaMichezo

Tiger Wood apata ajali mbaya, alazwa ICU

  MCHEZAJI namba moja wa gofu duniani, Tige Wood amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya gari Los Angeles, Marekani. Inaripoti Aljazeera …...

MichezoTangulizi

Simba yaweka rekodi dhidi ya kocha wa Al Ahly

  USHINDI wa bao 1-0, dhidi ya Al Ahly walioupata Simba kwenye uwanja wa Mkapa, mchezo wa kundi A wa Ligu ya Mabingwa...

MichezoTangulizi

Simba yaifanyia mbaya Al Ahly

  BAO pekee la Luiz Miquison lilitosha kuiangamiza Al Ahly kwenye mchezo wa kombe la Ligu ya Mabingwa Afrika, katika mchezo uliofanyika kwenye...

Michezo

Namungo FC mikononi mwa Waarabu

  KAMA itafanikiwa kuvuka kwenye mchezo wa pili dhidi ya Costo De Agosto ya Angola, klabu ya Namungo ya Tanzania, itaangukia kwenye kundi...

Michezo

Kocha Al Ahly aikubali Simba, awataja Miquison, Chama, Mugalu

  KOCHA Mkuu wa Al Ahly, Pitso Mosimane ametaja wachezaji Luis Miquison, Clatous Chama na Chriss Mugalu kama wachezaji wa kuwachunga kuelekea mchezo...

Michezo

Namungo kutupa karata ya kwanza leo kimataifa.

  TIMU ya soka ya Namungo FC leo inashuka uwanjani kuwakabili CD 1 Agosto kutoka Angola kwenye mchezo wa raundi ya tatu ya...

Michezo

Rais ZFF ajiuzuru

  RAIS wa Shirikisho la mpira wa Miguu visiwani Zanziba (ZFF) Seif Kombo Pandu amejiuzuru nafasi hiyo hii leo tarehe 18 Februari 2020,...

Michezo

Simba waomboleza kifo cha Balozi Kijazi

MABIGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imeomboleza kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John...

Michezo

Yanga yabanwa mbavu na Kagera Sugar

  KLABU ya Yanga imelazimishwa sare ya mabao 3-3 na Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara. Anaripoti Kelvin Mwaipungu,...

Michezo

Uamuzi wa CAF waibeba Namungo FC

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), limeamua michezo yote miwili ya Kombe la Shirikisho kati ya Namungo FC na CD...

Michezo

Azam TV kufunga taa viwanja vinne, ligi kuu kupigwa usiku

  KAMPUNI ya Azam Media, wamekuja na mradi wa kufunga taa kwenye viwanja vinne vinavyochezewa Ligi kuu Tanzania Bara. Anaripoti Kelvin Mwaipungu… (endelea)...

Michezo

Simulizi ya Profesa Jay katika muziki, siasa

  UMESAHAU ulipotoka hujui unapokwenda, ukapata kiburi kuona mi nakupenda, nilikuthamini na letu penzi kulienzi na leo siamini kama umenisaliti mpenzi. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Julio na ‘wanae’ kibaruani dhidi ya Ghana

  TIMU ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 (Ngorongoro Heroes) ambayo ipo chini ya kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ itakuwa...

Michezo

Wapinzani wa Simba Ligi ya Mabingwa, kushuka dimbani

  MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, klabu ya Al Ahly itashuka dimbani hii leo tarehe 16 Februari 2021, dhidi ya El...

Michezo

Kim Poulsen arejeshwa kuifundisha Taifa Stars

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Kim Poulsen raia wa Denmark (61) kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa...

Michezo

Majaliwa aipongeza Simba, amwagia sifa Barbara

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameipongeza klabu ya Simba kwa kufanikiwa kuingia hatua ya makundi ya michuano...

Michezo

TFF: Walichofanyiwa Namungo ni kinyume na utaratibu

  SHIIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema kuwa kitendo cha timu ya Namungo FC kutaka kuwekwa karantini nchini Angola baada ya...

MichezoTangulizi

Kushikiliwa kwa Namungo Angola, Majaliwa atoa neno

  SAA chache mara baada ya msafara wa Namungo kuzuiliwa kwenye Uwanja wa ndege wa Luanda Angola, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano...

Michezo

Namungo FC yakwama Uwanja wa ndege Angola

  MSAFARA wa wachezaji na viongozi wa klabu ya Namungo FC umezuiliwa katika Uwanja wa ndege wa Luanda nchini Angola kwa madai kuwa...

MichezoTangulizi

Simba yaigeuzia kibao AS Vita, yachukua pointi tatu

  PENALTI ya dakika 60 ya mchezo iliwekwa kambani na Chriss Mugalu ilitosha kuipatia Simba pointi tatu kwenye mchezo wa ugenini dhidi ya...

Michezo

Biashara United yaanza mwaka kwa Tuzo

  MSHAMBULIAJI wa Biashara United ya Mara, Deogratius Mafie amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Januari wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL)...

Michezo

Ndoa ya Ndayilagije na TFF yafikia mwisho

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imevunja rasmi mkataba na aliyekuwa kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Etienne...

MichezoTangulizi

Kim Poulsen atua Bongo kuchukua mikoba ya Etienne, sababu za kufukuzwa zaelezwa

  INAELEZWA tayari Kim Poulsen kocha raia wa Denmark yupo nchini kwa ajili ya kukaimu kwa muda nafasi ya aliyekuwa kocha wa Timu...

MichezoTangulizi

Mtifuano Ligi Kuu raundi ya pili

  MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara utaanza kesho tarehe 11 Februari 2021, huku kukiwa na kitendawili kikubwa kwenye kumpata bingwa...

Michezo

Simba yawasili kibabe DR Congo, kuikabili AS Vita

  MSAFARA wa wachezaji, benchi la ufundi pamoja na viongozi wa klabu ya Simba umewasili salama Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...

Michezo

TFF yashusha Nyundo kwa viongozi wa soka

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewafungia Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Shinyanga (SHIREFA), Bannister Misango kutojihusisha...

Michezo

Jeshi la watu 44 Simba lapaa kwenda Congo

  MSAFARA wa watu 44, wakiwemo wachezaji, viongozi na benchi la ufundi la klabu ya Simba umeondoka jijini Dar es Salaam hii leo...

Michezo

Simba, Yanga zapangwa na ligi daraja la kwanza kombe la FA

  DROO ya hatua ya 32 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (FA) imechezeshwa hii leo ambapo jumla ya michezo...

MichezoTangulizi

Mwenyekiti Mpya Simba aanza na AS Vita, kutangulia DR Congo kesho

  MWENYEKITI mpya wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu ameanza kazi kwa kasi katika kuhakisha timu hiyo inafanya vizuri kwenye michuano kimataifa kwa...

Michezo

Sare ya Azam FC, Simba wamkingia kifua kocha

  BAADA ya kutoka sare ya mabao 2-2, dhidi ya Azam FC, klabu ya Simba kupitia msemaji wake, Haji Manara imesema, mashabiki wa...

Michezo

Kim Poulsen mshauli mkuu soka la vijana

  ALIYEWAHI kuwa kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Kim Poulsen anarejea tena nchini na kuwa mshauri mkuu wa soka...

MichezoTangulizi

Nkamia aanguka uchaguzi Simba

  ALIYEKUWA Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia ameangukia pua kwenye uchaguzi wa klabu ya Simba baada ya kushindwa na Murtaza Mangungu kwa tofauti...

Michezo

Nkamia ahidi kusimama na 51% za mashabiki Simba

  MGOMBEA nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Juma Nkamia amesema, akipewa ridhaa ya uongozi ndani ya klabu hiyo atahakikisha anasimama na...

Michezo

Mgombea Simba aitumia Yanga kuomba kura

  MGOMBEA wa nafasi ya Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesema kuwa moja ya ajenda zake nyingine, akipewa ridhaa ya kuongoza...

Michezo

Simba yawaonya wachezaji na viongozi, “hatuna tatizo na FCC”

  BODI ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba jijini Dar es Salaam, imetoa onyo kwa wachezaji na viongozi wa timu hiyo watakaokwenda kinyume...

Michezo

Nkamia, Mangungu nani kuibuka Simba?

  WANACHAMA wa Klabu ya Simba, jijini Dar es Salaam, wamekutana kumchagua Mwenyekiti wa timu hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

error: Content is protected !!