Wednesday , 24 April 2024

Maisha

Maisha

Afya

Dk. Gwajima: Marufuku kuwauzia kina mama kadi za kliniki

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amepiga marufuku utaratibu wa kuwauzia kadi za kliniki wajawazito....

Elimu

Serikali kuanzisha mashindano Insha za Muungano

  SERIKALI ya Tanzania imesema, itaanzisha mashindano ya uandishi wa Insha kuhusu masuala ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ili kuwawezesha vijana kufahamu...

Afya

Bilioni 57 kuboresha hospitali za rufaa Tanzania

  SERIKALI imetenga Sh.57 Bilioni kwa ajili ya ukamilishaji wa miundombinu ya Hospitali za Rufaa za Mikoa, ikiwemo ya Mawenzi, mkoani Kilimanjaro. Anaripoti...

AfyaHabari za Siasa

Bil 14 kujenga hospitali 28

  SERIKALI imetenga Sh. 14 Bilioni kwa ajili ya kuanza ujenzi wa hospitali mpya 28, ikiwepo Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga...

AfyaHabari za Siasa

Tamisemi: Hospitali Biharamulo ilitengewa Mil 500

  HALIMASHAURI ya Wilaya ya Biharamulo, Kagera ilipatiwa kiasi cha Sh. 500 Milioni katika mwaka wa fedha 2019\20 kwa ajili ya kuanza ujenzi...

Elimu

Serikali yatenga Mil 605 ukarabati Chuo Tango

  SERIKALI ya Tanzania inaendelea na ukarabati wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi, unaogharimu Sh. 605.2 milioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

ElimuHabari Mchanganyiko

Ujuzi ni kipaumbele cha ajira – Majaliwa

  KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania amesema, ujuzi wa vijana utaangaliwa zaidi badala ya kuangalia viwango vya elimu yao. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Elimu

CWT waja juu, wagomea bodi mpya

  CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimegomea uanzishwaji wa Bodi ya Kitaaluma ya Walimu kwa madai, imelenga kumkandamiza mwalimu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Burudika

Kifo cha Magufuli, Majaliwa awashukuru wasanii

  WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amewashukuru na kuwapongeza wasanii wote nchini waliojitoa kutunga nyimbo mbali mbali za...

BurudikaTangulizi

Wizkid, Burnaboy wan’gara tuzo za grammy, Beyonce aweka rekodi

  TUZO kubwa ulimwenguni, zinazotolewa nchini Marekani maarufu ‘Grammy,’ zimeshuhudia gwiji wa muziki, Beyonce akiweka rekodi kwa kushinda na kufikisha tuzo 28 tangu...

Afya

Dk. Gwajima ahimiza lishe bora, mazoezi

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amewahimiza Watanzania kula lishe bora. Anaripoti Mwandishi Wetu, Katavi…(endelea)....

Elimu

Shule iliyoshika mkia Sengerema, yazinduka

  SHULE ya Sekondari ya Kome, iliyopo Buchosa, Wilaya ya Sengerema, Mkoani Mwanza, iliyokuwa ikishika nafasi ya mwisho kwa matokeo mabovu ya katika...

ElimuHabari Mchanganyiko

TAKUKURU: Rushwa ya ngono ipo, fichueni

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imewataka wananchi kufichua vitendo vya rushwa ya ngono wanavyokutana navyo. Anaripoti Regina...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Chadema: Serikali itoe taarifa sahihi za corona, chanjo

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali ya Tanzania, kupima na kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

Afya

Dk. Gwajima abaini hasara bilioni 1 hospitali ya Tumbi

  UCHUNGUZI wa tathmini ya uwepo wa thamani ya fedha katika utekelezaji wa mradi wa upanuzi na uboreshaji wa Hospitali ya Rufaa ya...

Afya

Kujifukiza elfu 5 Muhimbili

  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam (MNH), imefunga mashine nne za kutoa dawa kwa njia ya mvuke ili kusaidia wagonjwa...

Afya

Gharama kipimo cha corona Z’bar yapaa

  KUPIMA virusi vya corona (COVID-19), visiwani Zanzibar sasa ni Dola za Marekani 80 (zaidi ya Sh.180,00), badala ya Sh.30,000 za awali. Anaripoti...

Afya

COVID-19: Waziri Gwajima ‘matamko yametosha’

  DAKTARI Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania amesema, matamko kuhusu magonjwa ya kuambukiza ikiwemo...

Elimu

Shule ya Kandwi Z’bar yapata neema

  BENKI ya Exim imetoa Sh.10 milioni kwa taasisi ya Asma Mwinyi Foundation (AMF), kwa ajili ya kuwezesha ununuzi wa vifaa vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi walilia madarasa Mtwara, Silinde awajibu

  WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Mpowora, Wilaya ya Masasi, Mkoa wa Mtwara, wameiomba Serikali kuwajengea madarasa kwani yaliyopo ni mabovu na yanahatarisha...

Elimu

Shule yenye darasa moja tangu 2014

  BWANAHERI Akili, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi, Namalombe iliyopo Nanyumbu mkoani Mtwara, ameiomba serikali kujenga madarasa mengine katika shule yake kwa...

AfyaTangulizi

COVID-19: Serikali yaja na mambo manane

  WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza mambo manane yanayoweza kumsaidia Mtanzania kujilinda na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo...

Elimu

Bweni lamuweka matatani Mkuu wa Shule Naliendele

  HALIDI Mchanga, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Naliendele, amesimamishwa kazi kwa kushindwa kukamilisha mradi wa bweni na bwalo la chakula katika...

Afya

Tanzania yang’ang’aniwa kutoa takwimu za Corona

  SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limeitaka serikali ya Tanzania kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya Covid 19, ili kuwezesha kujulikana idadi...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Jitahadharini na corona

  RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kujihadhari na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Ametoa wito...

Burudika

Majizo, Lulu wafunga ndoa Dar

  HAYAWI hayawi sasa yamekuwa, Francis Ciza maarufu Majizo na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamefunga ndoa. Anaripoti Matrida Peter, Dar es Salaam..(endelea) Majizo ambaye...

AfyaTangulizi

Madaktari: Kuna ongezeko la wagonjwa, watahadharisha

  CHAMA cha Madaktari nchini (MAT), kimewataka wananchi kuwa makini kutokana na ongezeko la wagonjwa wenye matatizo ya kupumua. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Elimu

Serikali kujenga shule za sekondari mpya 1,026

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali itajenga shule mpya 1,026 ambapo kati ya hizo, shule 26 zitakuwa za bweni zenye...

ElimuHabari Mchanganyiko

Jinsi Prof. Bisandu wa Chuo Kikuu anavyowindwa

  HATUA ya Profesa Elifas Bisanda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), kutoa waraka wa tahadhari ya maambukizi ya corona, imemuingiza matatani...

ElimuHabari za Siasa

Waraka wa corona wamponza Prof. Bisanda wa Chuo Kikuu

WARAKA kuhusu tahadhari ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), uliotolewa na Profesa Elifas Bisanda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania...

AfyaHabari za Siasa

Ndugai ashtushwa gharama mashine za upumuaji

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshtushwa na gharama kubwa za mashine za kusaidia upumuaji kwa watu wenye tatizo hilo, zinazotolewa...

Afya

Chanjo ya corona: WHO yaitenga Tanzania, Burundi

  SHIRIKA la Afya duniani (WHO), limeiondoa Tanzania na Burundi katika orodha ya nchi za Afrika Mashariki zikazopewa chanjo ya virusi vya corona...

Elimu

Mbunge ahoji ‘Kwanini tatizo la madawati haliishi?’ 

UPUNGUFU wa madawati katika baadhi ya Shule za Msingi na Sekondari nchini, umekuwa ni tatizo sugu. Je, serikali inachukua hatua gani endelevu za...

Afya

COVID-19: Ureno yaelemewa, yaomba msaada Ujeruman  

KASI ya kuenea kwa virusi vya corona (COVID-19) nchini Ureno, inatikisa taifa hilo. Inaripoti mitandao ya kimataifa… (endelea). Serikali ya Ureno baada ya kuona...

Afya

Jafo atangaza siku 7 kupiga nyungu

  WAZIRI Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Seleman Jaffo ametangaza msimu wa tatu wa kujifukiza nyungu, ili kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu...

AfyaHabari za Siasa

Magufuli aagiza madaktari waliokimbia kazini watafutwe

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza madaktari wanaopangiwa ajira katika hospitali za umma kisha wanakimbilia kwenye hospitali binafsi kwa kigezo cha masilahi...

Afya

Waziri Gwajima aanza safari kuukabili ukatili

  WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imetaka wananchi wanaokabiliwa na vitendo vya kikatili kwenye familia/nyumba zao, kuwasiliana na maofisa wa wizara hiyo moja...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Maambukizi ya corona: Taifa njia panda

  MKANG’ANYIKO wa taarifa juu ya virusi hatari vya corona (Covid-19), nchini Tanzania, unazidi kuwaweka wananchi njia panda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Afya

Rais Magufuli aahidi makubwa sekta ya Afya

  RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli amesema serikali yake itaendelea kuboresha sekta ya afya ili wananchi wapate huduma bora za afya. Anaripoti...

AfyaHabari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki watahadharisha maambukizi ya corona

  BARAZA la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), limetoa tahadhari kwa wananchi kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona na ugonjwa wa...

Afya

Serikali yalaani askari aliyemtwanga makofi raia hospitali

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza kuumizwa na hatua ya askari wa ulinzi (SUMA – JKT)...

AfyaHabari za Siasa

Waziri Gwajima asimamisha watano Ukerewe

WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Dk. Dorothy Gwajima, amewasimamisha watumishi watano wa Hospitali ya Wilaya ya Nansio Ukerewe jijini Mwanza, kupisha uchunguzi wa...

ElimuTangulizi

Taswira ya matokeo kidato cha nne 2020  

BARAZA Mitihani la Tanzania (Necta), limetangaza matokeo ya mthani wa kidato cha nne, uliofanyika mwaka 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Elimu

Wanafunzi 215 wafutiwa matokeo, 252… 

BARAZA Mitihani la Tanzania (Necta), limefuta matokeo yote ya watahiniwa 215, waliofanya udanganyifu katika mitihani yao ya Taifa mwaka 2020. Anaripoti Regina Mkonde,...

ElimuHabari Mchanganyiko

Silinde amsimamisha mkuu wa shule, Takukuru yapewa kazi

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais- Tamisemi, David Silinde amemsimamisha kazi Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Korona Jiji la Arusha,  Kashinde Mandari kwa...

ElimuTangulizi

Matokeo darasa la nne 2020

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la nne uliofanyika 2020. MATOKEO YA DARASA LA NNE HAYA HAPA

ElimuTangulizi

Haya hapa matokeo kidato nne 2020

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya kidato cha nne uliofanyika Novemba 2020. MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA

ElimuTangulizi

Matokeo kidato cha pili 2020 haya hapa

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya kidato cha pili uliofanyika tarehe 23 Novemba hadi 11 Desemba 2020. MATOKEO YA KIDATO...

Elimu

Vigogo 4 Veta Lindi wasimamishwa, Takukuru wapewa rungu 

NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga amewasimamisha kazi maafisa wanne wa Chuo cha Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)...

Elimu

Prof. Ndalichako anusa harufu ya ufisadi Kagarwe

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, amemwagiza Mwenyekiti wa Bodi ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Peter Maduki kuunda...

error: Content is protected !!