Afya
NCHI ambazo zinahifadhi wakimbizi wengi na zenye makazi duni Afrika, zinatajwa kuwa na hatari zaidi ya kuenea kwa virusi vya corona (COVID-19) katika...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2020ISABELA Mwampamba (46), mgonjwa wa kwanza kupatikana na virusi vya corona (COVID-19) nchini Tanzania, amepona na yupo huru kuungana na familia yake. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageMarch 26, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), sasa yupo karantini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amechukua hatua hiyo...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2020NCHI ya China imeahidi kuisadia Tanzania katika kudhibiti mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti...
By Regina MkondeMarch 25, 2020MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amekiri kuwa mmoja wa watoto wake, Dudley Mbowe, amekutwa na ugonjwa wa Corona. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2020ZORORO Makamba (30), mtangazaji maarufu wa vipindi vya televisheni nchini Zimbabwe, amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona (COVID-19). Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Makamba aliyefariki...
By Mwandishi MaalumMarch 24, 2020PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ameagiza kupuliziwa dawa ya kuua vimelea vya ugonjwa wa corona (COVID-19) katika maeneo mbalimbali...
By Faki SosiMarch 24, 2020KUSAMBAA kwa virusi vinavyosababisha homa kali ya mapafu (COVID-19), kumebadili mwenendo wa dunia. Anaripoti Dandons Kaijage, Dodoma…(endelea). Prof. Pastor Majembe Chidachi, Mchungaji wa Kanisa...
By Danson KaijageMarch 23, 2020JINSI hofu ya kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 inavyozidi kupanda, ndivyo hofu ya kushika vitu mbalimbali ambavyo vinaweza kuwa na virusi pia inapanda. Unaripoti Mtandao...
By Mwandishi MaalumMarch 23, 2020JESHI la Polisi nchini limeonya watu wanaosambaza taarifa zisizo sahihi, kuhusu mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababaishwa na Virusi vya...
By Regina MkondeMarch 21, 2020DAKTARI Janeth Mghamba, Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Ufutiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko katika Wizara ya Afya amesema, watu 27 waliochukuliwa ili kupimwa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2020SALLAM Sharif, Meneja wa Msanii, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekutwa na maambukizi ya virusi aina ya Corona baada ya kufanyiwa vipimo na kuwekwa...
By Kelvin MwaipunguMarch 19, 2020WATU waliokutwa na virusi vya ugonjwa wa corona (COVID -19), nchini Tanzania wamefika tano. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Kwa...
By Regina MkondeMarch 19, 2020WAGONJWA wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-2019) nchini Tanzania wameongezeka kutoka mmoja hadi kufikia watatu. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeMarch 18, 2020DAKTARI Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya amesema, ugonjwa wa corona (COVID-19) unatesa zaidi wenye kinga dhaifu. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam …...
By Hamisi MgutaMarch 17, 2020SERIKALI ya Tanzania imeripoti kuwepo mgonjwa mmoja mwenye ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2020RAIS John Magufuli ameagiza Watanzania kuepuka mikusanyiko ikiwa ni hatua za awali kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona nchini. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeMarch 16, 2020RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kuchukua tahadhari kutokana na kusambaa kwa virusi vya Corona. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Akizungumza kwenye uzinduzi wa...
By Faki SosiMarch 13, 2020DUNIA inatikisika, virusi vya ugonjwa wa Corona vimeendelea kusamba na kusababisha hofu kubwa sambamba na vifo. Anaandika Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Shughuli za uzalishaji...
By Regina MkondeMarch 13, 2020VIRUSI vya Corona vinaendeleo kuitesa dunia, tayai imesababisha madhara makubwa katika nchi mbalimbali duniani. Anaandika James Iyambogo, Mwanza … (endelea). Ugonjwa huo husambaa...
By Masalu ErastoMarch 11, 2020RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ametoa Sh. 15 bilioni kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa hospitali ya...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2020SERIKALI ya Tanzania imetahadharisha wananchi wake, juu ya hatari ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na mlipuko wa Virusi vya Corona, unaotikisa dunia hivi...
By Mwandishi WetuFebruary 29, 2020CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT), kimemuomba Rais John Magufuli kuongeza vibali vya ajira, ili kupunguza wimbi la madaktari wasiokuwa na ajira mitaani, pamoja...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2020MAAMBUKIZI mapya ya ugonjwa wa Malaria yamepungua nchini kwa asilimia 27 kutokana na kuboreka kwa takwimu ya ugonjwa huo ukilinganisha na kesi 164 mwaka...
By Danson KaijageFebruary 5, 2020WANANCHI wametakiwa kutoa taarifa pale wanapokutana na watu wenye dalili za magonjwa ya mlipuko, ikiwemo ugonjwa wa Ebola. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea)....
By Hamisi MgutaJanuary 20, 2020WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Abednego Alfred, Muuguzi katika Kituo cha Afya cha Mamba,...
By Mwandishi WetuDecember 20, 2019SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, imeagiza Waganga Wakuu wa Vituo vya Afya na Hospitali zote nchini, kuanzisha mfuko wa fedha za dawa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 12, 2019WATU wengi wanaona tatizo la kukoroma usingizini, ni jambo la kawaida, lakini linapokomaa, madhara yake ni makubwa. Anaandika Hamis Mguta…(endelea). Dk. Elisha Madebere,...
By Hamisi MgutaNovember 27, 2019WIZARA ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imefumua mfumo wa uongozi wa vyuo vya afya vidogo, ili kuboresha utoaji...
By Kelvin MwaipunguNovember 26, 2019WATANZANIA wamewatakiwa kuwa na utaratibu wa kupima presha ya macho angalau mara moja kwa mwaka, pia kufika hospitali kupata matibabu ya macho kwa...
By Masalu ErastoNovember 8, 2019ENDAPO hatua hazitachukuliwa, saratani ya matiti inaweza kushika nafasi ya kwanza, kwa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa nchini. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea)....
By Hamisi MgutaOctober 31, 2019TAKRIBANI watu bilioni 1.3 duniani wanakadiriwa kuwa na tatizo la kuona wa namna tofauti. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Hayo yameelezwa na Daktari...
By Hamisi MgutaOctober 10, 2019SERIKALI ya Tanzania imeeleza kushangazwa na kauli ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kwamba ilikugoma kutoa taarifa kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola. Anaripoti...
By Faki SosiOctober 3, 2019KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Zainabu Chaula amewagiza wataalamu wa sekta ya Afya wanaohusika...
By Danson KaijageSeptember 28, 2019SERIKALI imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba kuna mlipuko wa virusi vya ugonjwa wa Ebola hapa nchini. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hivi karibuni...
By Regina MkondeSeptember 14, 2019SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imesaini mkataba wa makubaliano wa miaka mitatu na serikali ya Ujerumani...
By Kelvin MwaipunguSeptember 12, 2019PROFESA Abel Makubi, Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC) amesema, hospitali hiyo imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh. 2 Bilioni kwa wananchi wa...
By Hamisi MgutaSeptember 8, 2019SONIA Mgogo, Mbunge wa Viti Maalum (CUF), ameitaka serikali kueleza mpango wake wa kuwawezesha madaktari bingwa ili wafanye kazi nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Ddodoma …...
By Danson KaijageSeptember 3, 2019HATUA ya majeruhi wengi wa ajali ya Lori la mafuta lililowaka moto Morogoro, walifikishwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimibi (MNH) kuendelea kupoteza...
By Bupe MwakitelekoAugust 21, 2019MAJERUHI wanne kati ya 25 wa ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro waliokuwa wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamepoteza...
By Kelvin MwaipunguAugust 17, 2019DUNIA ikiwa inaadhimisha wiki ya unyonyeshaji, nchini Tanzania takwimu zinaonyesha kuwa vifo vya watoto wachanga bado vinashika kasi sababu ikitajwa ni kuchelewa kunyonyeshwa...
By Danson KaijageAugust 3, 2019WANAUME wanaopewa likizo ya uzazi, wameshauriwa kutumia vizuri kwa kumsaidia mama aliyejifungua, na kwamba ni kwa mujibu wa sheria ya kazi na ajira...
By Danson KaijageAugust 2, 2019KUHUSANA mwili wenye majimaji ikiwa ni pamoja na damu kutoka kwa mama (mwenye maambukizi) kwenda kwa mtoto wakati wa njia ya mama kujifungua...
By Hamisi MgutaJuly 30, 2019MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), imeondoa sokoni dawa bandia aina ya Gentrisone 10g Cream, zaidi ya tube 4,188. Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeJuly 17, 2019SERIKALI kupitia Wizara ya Afya inajenga jengo la Wazazi lenye thamani ya Sh. 7 bilioni ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa...
By Hamisi MgutaJuly 11, 2019SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imeshusha neema kwa wananchi wa Njombe kwa kutenga kiasi cha Sh. 7.6 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa...
By Hamisi MgutaJuly 11, 2019JUMLA ya kaya za wazee 10 za kata ya Ngerengere wilayani Morogoro mkoani hapa zimekabidhiwa kadi za mfuko wa Bima ya Afya ya...
By Christina HauleJuly 9, 2019TANZANIA imepunguza maambukizi ya ugonjwa wa Trachoma (vikope) kutoka wilaya 71 hadi sita ambazo zitaendelea na umezaji kingatiba. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea)....
By Hamisi MgutaJuly 8, 2019IMEELEZWA kuwa baadhi ya vituo vya afya mkoa wa Mwanza vinakabiliwa na ukosefu wa mashine za kupimia wingi wa damu kwa kinamama wajawazito...
By Moses MsetiJune 24, 2019SERIKALI imesema vipimo vya homa ya Dengue vitatolewa bure kwa wananchi katika vituo vya afya na hospitali za umma. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo...
By Mwandishi WetuJune 21, 2019