Saturday , 20 April 2024

Afya

Afya

AfyaHabari za Siasa

1,580 wapoteza maisha wakati wa kujifungua ndani ya mwaka mmoja

  WANAWAKE 1,580 wamepoteza maisha nchini Tanzania wakati wa kujifungua katika kipindi cha mwaka mmoja wa 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Afya

Ugonjwa wa Lupasi wapigwa vita nchini

WAKATI Ugonjwa wa Lupasi unakadiria kuathiri watoto 15 kati ya watoto 52 waliopimwa serikali imeweka mikakati ya kukabiliana na ugonjwa huo ikiwa pamoja...

Afya

Majaliwa akunjua makucha MSD, atoa maagizo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amefanya ziara katika Bohari ya Dawa (MSD) na kuagiza watu wote waliohusishwa na tuhuma za ubadhirifu...

Afya

Kiwanda cha mionzi tiba nchini kuanza kufanya kazi Juni

  NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, amesema kiwanda cha kutengeneza mionzi inayotibu ugonjwa saratani, kinatarajiwa kuanza kufanya kazi Juni, 2022. Anaripoti...

AfyaHabari Mchanganyiko

Majaliwa afichua upigaji MSD fedha za UVIKO-19

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekemea tabia ya baadhi ya maafisa ununuzi wa umma kukubali zabuni za watoa huduma zenye bei...

Afya

Mikoa inayoongoza kwa malaria yatajwa, waziri atoa maagizo

HALMASHAURI 61 kutoka katika mikoa sita ya Tanzania Bara, imetajwa kuongoza kwa kuwa na mamabukizi ya ugonjwa wa malaria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea)....

Afya

Wizara ya Afya yamwaga ajira 1,650

  WIZARA ya Afya, imetangaza nafasi za ajira 1,650 za wataalamu wa kada mbalimbali za sekta ya afya. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Afya

Wananchi 10,000 kufaidika na Kituo cha Afya Sangambi

ZAIDI ya wananchi 10,000 kutoka katika Kata ya Sangambi, wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wanatarajiwa kupata unafuu wa matibabu baada ya Kituo cha...

Afya

ACT-Wazalendo chalaani uzembe Serikali kusimamia utoaji huduma za afya

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelaani hatua “rahisirahisi” zilizochukuliwa na Serikali dhidi ya mwenendo mbovu wa utoaji huduma za Afya katika Hospitali ya Taifa...

Afya

Hadhari ongezeko la saratani yatolewa Tanzania

  SERIKALI ya Tanzania imewataka wananchi kujenga tabia ya kupima afya zao kwenye magonjwa yasiyoambukiza hususani saratani kutokana na idadi ya wagonjwa hao...

Afya

Rais Samia aokoa ‘jahazi’ lililozama 2017

IMEELEZWA kuwa kukamilika kwa ujenzi wa Kituo cha Afya Kifunda kilichopo Kata ya Lupilo katika Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya, kumeokoa jahazi la...

Afya

Mjadala sekta ya afya kufanyika Njombe

  TAASISI isiyo ya kiserikali ya Univeristy of Maryland Baltimore (UMB) kwa kushirikiana na serikali ya Mkoa wa Njombe imeandaa mjadala wa kitaifa...

Afya

Manyara, Songwe zashika mkia chanjo Uviko-19

  MKOA wa Manyara umeshika nafasi ya mwisho kwa uchanjaji wa UVIKO-19 ikiwa na asilimia tatu tu ya watu waliopata chanjo hadi sasa....

Afya

803 wafariki, 33,789 wakiambukizwa Uviko-19 Tanzania

  SERIKALI imesema jumla ya watu 803 wamepoteza maisha kwa ugonjwa wa korona huku 33,789 wakiambukizwa tangu kuripotiwa kwa kisa cha kwanza nchini....

Afya

Kada ADA- Tadea ampigia saluti Rais Samia ujenzi Kituo cha afya Namatula

KADA mkongwe kutoka Chama cha ADA – Tadea na mgombea ubunge kwa awamu kadhaa katika jimbo la Nachingwea, Saliana Dovela ameeleza ‘kukoshwa’ na...

Afya

Katibu Mkuu awapiga msasa watumishi wizara ya afya

VIONGOZI na watumishi wa Wizara ya Afya wametakiwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma na kuzingatia taaluma zao ili kuleta tija na ufanisi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Muhimbili wakana kusambaza video Profesa Jay akiwa ICU

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imekana kurekodi na kusambaza video ya Msanii wa Bongo fleva, Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay anayeendelea kupatiwa matibabu...

Afya

Serikali yatoa taadhari ya ugonjwa wa manjano

  SERIKALI ya Tanzania imetoa taadhari kwa kwa wananchi dhidi ya ugonjwa wa homa ya manjano ambao umeonekana kutokea katika nchi ya jirani...

AfyaHabari Mchanganyiko

Muarobaini wakazi Kivulini kutembelea KM 65 kusaka huduma za afya wapatikana

HATIMAYE kilio cha wakazi wa Kata ya Kivulini Manispaa ya Lindi, mkoani Lindi kuhusu upatikanaji wa huduma za afya, kimepata suluhu baada ya...

Afya

800 wafariki dunia kwa UVIKO-19 Tanzania, wasiochanjwa hatarini

  WATU 800 wamefariki dunia kati ya 33,726, waliothibitika kuwa na Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19) tangu kuripotiwa kwa kisa cha kwanza...

Afya

Tozo miamala ya simu yajenga Kituo cha afya Musoma

JUMLA ya Sh milioni 250 zilizopatikana kutokana na tozo za miamala ya simu zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Kituo cha Afya Rukuba kilichopo...

Afya

Bulembo aanika faida ujenzi Kituo cha afya Kwafungo

MKUU wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema fedha kutoka katika Mpango wa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko 19, zilizotokana...

Afya

Tanzania yaokoa bilioni 249 za kupeleka wagonjwa nje

  SERIKALI ya Tanzania imeokoa Sh.249 bilioni zilizokuwa zitumike kugharamia wagonjwa kwenda nje ya nchi kufuata huduma za matibabu ambazo awali zilikuwa hazipatikani...

Afya

RC Malima anusa ubadhirifu ujenzi Hospitali ya Halmashauri Handeni

  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni na...

Afya

Tanga kujenga Kituo cha Mifupa

  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema mkoa wake unakusudia kuanzisha kituo cha Mifupa (Orthopaedic Centre) kwa ajili ya watu wanaopata...

Afya

Serikali yatoa tahadhari mlipuko ugonjwa wa Polio

  SERIKALI ya Tanzania, imewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa Polio, ulioibuka hivi karibu katika nchi jirani ya Malawi. Anaripoti...

Afya

Oasis yataja muarobaini tatizo la usugu wa dawa

WANANCHI wametakiwa kutumia vipimo maalumu vinavyoonesha ugonjwa na aina ya matibabu yake sahihi, ili kuepukana na tatizo la usugu wa dawa. Anaripoti Regina...

Afya

Maboresho Hospitali ya Rufaa Tanga yawafuta machozi wananchi

IMEELEZWA kuwa Serikali imejibu kilio cha muda mrefu cha watumiaji wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga, kwa kuwezesha upatikanaji wa huduma...

AfyaHabari

Mwanamke wa kwanza duniani aponywa Ukimwi kwa kupandikizwa seli

  WANASAYANSI jana Jumatano tarehe 16 Februari 2022, wametangaza ufanisi wao wa kumponya mwanamke wa kwanza aliyekuwa anaishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU),...

Afya

Mashine ya kisasa kupima UVIKO-19 yazinduliwa Zanzibar

SERIKALI ya Zanzibar, imezindua rasmi matumizi ya teknolojia mpya inayotambua maambukizi ya virusi vya korona (UVIKO-19) kupitia vipimo vya smaku umeme yaani electromagnetic....

Afya

Hospitali ya Mkapa yapandikiza figo wagonjwa 26

  HOSPITALI ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma nchini Tanzania, imefanikiwa kupandikiza figo wagonjwa 26 kuanzia tarehe 22 Machi 2018 kutoka mikoa mbalimbali nchini...

Afya

Waziri Ummy achambua takwimu za saratani

  WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema, katika kila watu 100,000 watu 76 hugundulika kuwa na ugonjwa wa Saratani. Anaripoti Danson...

AfyaKimataifa

Mwanajeshi apandishwa cheo kwa kumsaidia mwanamke kujifungua

MWANAJESHI wa Zambia amepandishwa cheo cha kijeshi kwa kumsaidia mwanamke mjamzito kujifungua mtoto katika shamba la mahindi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mwanajeshi...

Afya

Prof. Makubi awapa mtihani wakurugenzi sekta ya afya

  WAKURUGENZI wa Hospitali za Rufaa za Mikoa, Kanda Maalumu, Taifa pamoja na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya, wametakiwa kusimamia vipaumbele...

AfyaTangulizi

Watanzania 33,000 waugua Corona, 781 wafariki

  SERIKALI ya Tanzania imesema hadi kufikia tarehe 23 Januari, 2022 jumla ya Watanzania 33,000 wamethibitika kuwa na maambukizi na watu 781 wamepoteza...

AfyaKimataifa

Tanzania, Kenya, Ethiopia, Nigeria zapigwa ‘Stop’ kuingia UAE kisa Corona

  UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE), zimesitisha safari za ndege kwa abiria wanaotoka nchi za Tanzania, Kenya, Ethiopia na Nigeria, huku ikiongeza...

AfyaTangulizi

Watu 28,214 wapata UVIKO-19, 700 wafariki dunia

  SERIKALI ya Tanzania, imesema hadi kufikia tarehe 18 Desemba 2021, watu takribani 28,214 wameambukizwa Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), huku zaidi...

Afya

Mpango wa pili chanjo Korona wazinduliwa, laki moja kuchanjwa kila siku

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuchanja chanjo ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), kwa wananchi 80,000 hadi 100,000 kwa siku, kupitia mpango...

AfyaTangulizi

Milioni 1.2 wapata chanjo Tanzania, maambukizi yashika kasi

  SERIKALI ya Tanzania imesema, maambukizi ya virusi vya korona (UVIKO-19), yanaendelea kwa kasi nchini humo na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari. Anaripoti Mwandishi...

AfyaTangulizi

Mganga mkuu atoa tamko visa vya mafua, kikohozi, atahadharisha Corona kuongezeka

  WIZARA ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia Wazee na Watoto imesema kuongezeka kwa idadi ya watu wenye dalili za kukohoa, mafua, maumivu...

Afya

Watumishi afya kupimwa utendaji kwa mfumo wa kadi

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, Watoto na Walemavu, Dk. Dorothy Gwajima ameanzisha utaratibu wa watumishi wa wizara hiyo kujipima...

Afya

GGML yatoa milioni 84 mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imechangia zaidi ya Sh milioni 84 kusaidia mipango ya serikali katika mapambano dhidi ya VVU na...

Afya

Wataalamu watahadharisha wimbi la nne UVIKO-19, wahimiza chanjo

  WATAALAMU wa sekta ya afya nchini, wameitahadharisha jamii juu ya ujio wa wimbi la nne la Ugonjwa wa Korona (Uviko-19), huku wakihimiza...

Afya

Prof. Kakoko: Chanjo UVIKO-19 haisababishi ugumba, upungufu nguvu za kiume

  MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS), Profesa Deodatus Kakoko, ametoa wito kwa wananchi kuchanjwa chanjo ya Ugonjwa wa...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML yaendeleza udhamini wa upasuaji midomo sungura

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Rafiki Surgical Mission ya Australia kwa mara nyingine mwaka huu imeendeleza udhamini...

AfyaElimu

Mitihani ya utabibu iliyovuja kurudiwa, waliovujisha kikaangoni

  BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limeagiza kurudiwa upya kwa mitihani iliyovuja ya utabibu ndani ya wiki sita kuanzia tarehe...

Afya

Dk. Gwajima aziwekea kitanzi taasisi za afya

  WAZIRI Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima ameziagiza taasisi za afya kufuata utaratibu wa mikataba ya utoaji...

Afya

Uzito uliozidi, kiribatumbo chanzo cha magonjwa sugu

  TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imesema uzito uliozidi na kiribatumbo ni chanzo kikuu cha magonjwa sugu na yasioyakuambukiza. Anaripoti Selemani...

AfyaHabari za Siasa

Rais Samia: Asilimia 88.9 wamechanja chanjo ya Corona

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hadi kufikia jana tarehe 15 Oktoba, 2021 jumla ya Watanzania 940,507 walikuwa wamekwishachanja chanjo ya Covid –...

AfyaHabari za Siasa

Bilioni 6 kuiboresha Hospitali ya Mawenzi

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imetenga Sh. bilioni sita kwa ajili ya kuiboresha Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi, mkoani Kilimanjaro. Anaripoti...

error: Content is protected !!