Friday , 29 March 2024

Kimataifa

Kimataifa

KimataifaMakala & Uchambuzi

Juliana Cherera; kigogo tume ya uchaguzi anayetia mchanga ushindi wa Ruto

Jina la Juliana Cherera ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka kutoka nchini Kenya (IEBC), limepata umaarufu mkubwa baada...

Kimataifa

Mwili wa Rais Angola waendelee kusota mochwari, mwanaye akata rufaa

  BINTI wa Rais wa zamani wa Angola, Jose Eduardo dos Santos amekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Uhispania ulioamuru mjane...

Kimataifa

Biashara ya usafirishaji binadamu yawaibua wanaharakati Pakistan

WAKATI vitendo vya biashara haramu ya kusafirisha binadamu nchini Pakistani vikizidi kushika kasi huku wahanga wakuu wakiwa wanawake, Tume ya Haki za Binadamu...

Kimataifa

Ukraine yahofia Urusi kuzima kinu cha kufua umeme cha nyuklia

KAMPUNI ya nyuklia ya serikali ya Energoatom ya Ukrein imesema vikosi vya Urusi vilipanga kuzima mtambo wa kuendesha umeme kwenye mtambo wa nyuklia...

HabariKimataifa

Kenyatta awahakikishia viongozi wa dini amani makabidhiano ya madaraka

  RAIS wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta amewahakikishia viongozi wa dini nchini humo kuwa makabidhiano ya madaraka baina yake na atakayemrithi yatakuwa...

HabariKimataifa

Seneta Mmarekani ayewapatanisha Uhuru, Raila atua Kenya

SENETA wa Marekani ambaye aliwataka Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga kuwa na mazungumzo baada ya mzozo wa uchaguzi wa...

KimataifaTangulizi

Ruto: Machifu, watumishi ‘waliotekwa’ upinzani warejee kazini

RAIS mteule w Kenya, Dk. William Ruto amewataka machifu na watumishi wa umma waliokuwa wanatumiwa na wanasiasa kuwafanyia kampeni, warejee kazini ili watekeleza...

Kimataifa

Odinga akataa matokeo uchaguzi mkuu Kenya, kukimbilia mahakamani

  ALIYEKUWA Mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya kupitia muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga leo Jumanne amekataa kuyatambua matokeo ya...

Kimataifa

Makamishna wa IEBC waliopinga matokeo watoa sababu nne

  MAKAMISHNA wanne wa Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi ya Kenya (IEBC), wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti, Juliana Cherera, wametaja sababu za kutokukubaliana...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Namna Ruto alivyomshinda Odinga uchaguzi mkuu Kenya

  KAMPENI za wafuasi wengi zilizoegemezwa katika simulizi kali za ma-hustlers (watafutaji) sambamba na uungwaji mkono kutoka kwa maeneo yenye utajiri wa kura...

Kimataifa

Msimamizi Uchaguzi aliyetoweka, auawa na wasiojulikana

  OFISA wa uchaguzi wa Embakasi Mashariki kutoka nchini Kenya, Daniel Mbolu Musyoka (53) aliyetoweka tarehe 11 Agosti, 2022 amepatikana akiwa amefariki. Inaripoti Mitandao...

KimataifaTangulizi

Ruto: Nitaongoza Serikali kwa uwazi na demokrasia

  RAIS Mteule wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto amewahakikishia wananchi kuwa ataongoza Serikali kwa uwazi na demokrasia ya hali ya juu huku...

KimataifaTangulizi

Ruto aibuka mshindi Urais Kenya kwa asilimia 50.49

  MGOMBEA Urais wa Muungano wa Kenya Kwanza na Chama cha UDA, William Ruto ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu kwa kura 7,176,141...

Kimataifa

Wajackoyah: Nitashinda urais Kenya

  WAKATI matokeo ya kura za urais zilizothibishwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) zikionesha mchuano mkali katika kinyang’anyiro...

KimataifaTangulizi

Uchaguzi Mkuu Kenya- mbivu, mbichi leo

WAKENYA watajua rais wao mpya wakati wowote kuanzia leo wakati Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati akiwa amebakisha...

Kimataifa

Mwaure asalimu amri kinyang’anyiro urais Kenya

MGOMBEA urais nchini Kenya kupitia tiketi ya Chama cha Agano, Waihiga Mwaure amekuwa mgombea wa kwanza wa urais kukubali kushindwa. Anaripoti Mwandishi Wetu...

KimataifaTangulizi

Odinga aibuka, ahubiri amani, maridhiano

MGOMBEA urais nchini Kenya kupitia muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga jana Agosti 14, 2022 ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu...

KimataifaTangulizi

Salman Rushdie apumulia mashine baada ya kuchomwa visu Marekani

MWANDISHI wa habari mzaliwa wa Mumbai nchini India, Salman Rushdie, anapumulia mashine hospitalini baada ya jana tarehe 12 Agosti, 2022 kushambuliwa na visu....

KimataifaTangulizi

Mawakala Odinga, Ruto wachelewesha matokeo, Chebukati atishia kuwatimua

KUCHELEWESHWA kutangazwa kwa matokeo ya urais kumezidi kuzua wasiwasi nchini Kenya huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ikilaumu mawakala wa Naibu...

Kimataifa

Mawakala Ruto, Odinga wazozania kifaa cha majumuisho ya kura

WAANDISHI wa habari wamelazimika kutolewa katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura za urais cha Bomas kupisha majadilino ya maafisa wa Tume Huru...

Kimataifa

Vita nyingine Ruto, Odinga kwenye viti vya Bunge

WAKATI matokeo ya uchaguzi wa urais yakiendelea kutolewa jana na Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi (IEBC), mwelekeo umehamia kwenye vita vya Bunge,...

Kimataifa

Mawakala wa Ruto wazozana na maafisa wa Tume ya uchaguzi

  GHADHABU zilipanda katika kituo cha kitaifa cha kuhesabia kura cha Bomas of Kenya usiku wa Alhamisi wakati tume ya uchaguzi ilipoanza kuhakiki...

Kimataifa

Tume Huru ya Uchaguzi Kenya yaanza kutiririsha matokeo ya Urais

  TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) hatimaye ilianza kutiririsha matokeo ya urais yaliyothibitishwa mwishoni mwa siku Alhamisi kwa ajili ya kutangaza...

KimataifaTangulizi

Kikwete: Asiyekubali matokeo Uchaguzi Kenya aende mahakamani

KIONGOZI wa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete ametoa wito kwa wagombea...

Kimataifa

Prof. Wajackoyah afanikiwa kupiga kura baada ya kusubirishwa kwa saa tatu

  HATIMAYE Mgombea Urais wa chama cha Roots Party of Kenya, Prof. George Wajackoyah,amefanikiwa kupiga kura baada ya kuchelewa kwa saa tatu kutokana...

Kimataifa

Kenyatta aisifu IEBC: Uchaguzi unaenda vizuri

  RAIS Uhuru Kenyatta wa nchini Kenya ameisifu taasisi inayosimamia uchaguzi ya IEBC kwa kuweka taratibu nzuri za uchaguzi huku akiwasihi wananchi kujitokeza...

Kimataifa

Trump alia polisi kuzingira, ‘kusachi’ nyumba yake

  RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza kwamba makazi yake maarufu ya Florida, ‘Mar-a-Lago’, yamekaguliwa na polisi wa shirikisho la upelezi...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Pakistan kinara wa unyanyasaji, utekaji na ubakaji wanawake

  WAKATI Dunia ikihubiri haki na usawa wa kijinsia huko nchini Pakistani wanawake wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa kijinsia , kubakwa na kutekwa nyara....

Kimataifa

Wapiga kura wampokea kishuja Odinga, wasukuma gari

  MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga mapema leo saa 4:00 asubuhi amewasili katika Shule ya msingi ya Old...

Kimataifa

Ruto, Odinga kurusha karata ya mwisho leo

  IKIWA zimesalia siku tatu kabla ya Uchaguzi Mkuu nchini Kenya kufanyika, kampeni za urais nchini humo zinafikia tamati leo Jumamosi huku wagombea...

Kimataifa

Mgombea Kenya asafisha vyoo kushawishi wapiga kura

  KUELEKEA Uchaguzi wa Kenya unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, 2022 imezuka mishangao kwa wananchi mara baada ya baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali...

Kimataifa

Kongo wamtimua msemaji wa MONUSCO

SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemtaka msemaji wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo (MONUSCO), Mathias Gilman...

Kimataifa

Marekani yamuua kiongozi wa Al-qaeda kwa ndege zisizo na rubani

  RAIS wa Marekani, Joe Biden, amesema kiongozi wa Al-qaeda, Aymam Al-zawahiri, ameuawa katika shambulio lililofanywa na Marekani nchini Afghanistan. Anaripoti Erick Mbawala...

HabariKimataifa

Mgombea urais alia kunyanyaswa kingono, abwatuka

  UNYANYASAJI wa kingono sasa unaonekana kumuathiri mtu yeyote bila ubaguzi wakiwemo wagombea urais. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea) Tukio hilo la aina...

Kimataifa

Odinga, Ruto wakabana koo uchaguzi mkuu Kenya

  VINARA wa kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu nchini Kenya, Raila Odinga wa Azimio na Dk. Wiliam Ruto wa Kenya Kwanza kimezidi kushika kasi...

Kimataifa

Kisa Ukraine, viongozi Ufaransa, Marekani Urusi watinga Afrika

VIONGOZI kutoka nchi za Ufaransa, Marekani na Urusi wanazuru bara la Afrika, katika kile kinachoelezwa ni kuyashawishi mataifa ya Afrika kuunga misimamo yao...

Kimataifa

Tisa wafariki katika mlipuko wa bomu Somalia

  WATU tisa wamefariki dunia huku wengine kadhaa wakijeruhiwa, katika mlipo wa bomu la kujitoa muhanga, uliotokea kwenye Mji wa Marka, nchini Somalia....

Kimataifa

Rais wa zamani Burkina Faso aomba radhi mauaji ya Sankara

  RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Blaise Compaore ameiomba radhi familia ya kiongozi shujaa wa mapinduzi wa taifa hilo, Thomas Sankara kutokana...

Kimataifa

Urusi yakana kupandisha gharama za maisha duniani

  WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov amesisitiza kwamba nchi hiyo haihusiki kwa vyovyote vile na ongezeko la bei ya...

Kimataifa

Wanaharakati wanne wanyongwa na jeshi la Myanmar

  SERIKALI ya kijeshi nchini Myanmar, imewaua wanaharakati wanne wa demokrasia nchini humo, ambao ilikuwa ikiwatuhumu kusaidia katika kutekeleza kile walichokiita, “matendo ya...

Kimataifa

Mshukiwa mauaji ya Abe kufanyiwa uchunguzi wa kiakili

MTU anayetuhumiwa kumuua Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe anatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa hali yake ya kiakili ili kutathmini afya yake...

Kimataifa

CIA yasema wanajeshi wa Urusi 15,000 wamepoteza maisha Ukraine

  MKURUGENZI wa shirika la ujasusi la Marekani (CIA )William Burns amesema kuwa, “makadirio ya hivi karibuni kutoka ujasusi wa marekani ni kwamba...

Kimataifa

Sunak,Truss waanza kuchuana kumrithi Johnson uongozi Conservative

  WAGOMBEA  wawili katika kinyang’anyiro cha uongozi wa chama cha Conservative leadership wamewasilisha mipango yao kwa wajumbe wa chama ambao watamchagua mrithi wa...

Kimataifa

Methanol yabainika chanzo vifo vijana 21

  CHANZO cha vijana 21 waliopoteza maisha mwezi Juni huko nchini Afrika Kusini katika klabu moja ya usiku, imebainika kuwa ni sumu aina...

HabariKimataifa

Sri Lanka waandamana kumng’oa rais aliyekaimu

WAANDAMANAJI wamekusanyika katika kituo cha treni mjini Colombo nchini Sri Lanka kutaka kaimu Rais Ranil Wickremesinghe aondoke madarakani. Ranil aliteuliwa kuwa rais wa...

HabariKimataifa

Sunak azidi kuongoza mbio kumrithi Johnson

ALIYEKUWA Waziri wa fedha wa Uingereza, Rishi Sunak ameimarisha nafasi yake ya kuweza kuchaguliwa kuwa waziri mkuu mpya wa Uingereza, baada ya kuongoza...

HabariKimataifa

Uingereza wataabika, nyuzijoto lafikia 40

HALI ya hewa nchini Uingereza inatarajiwa kuwa ya joto kali la kuvunja rekodi leo tarehe 19 Julai, 2022 na kufikia nyuzi 38 za...

Kimataifa

Samia ashtushwa kifo cha Jessie

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema amepokea kwa masikitiko kicho cha aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha African National Congress (ANC), Komred...

Kimataifa

Rais Ukraine acharuka, atimua bosi usalama kwa usaliti

  RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy jana tarehe 17 Julai, 2022 ametumia amri za kiutendaji kuwafuta kazi mkuu wa idara ya usalama ya...

Kimataifa

Waandamana kumpinga Rais kisa ongezeko gharama za maisha, rushwa Afrika Kusini

  WAANDAMANAJI takribani 300, ambao ni wanachama wa chama tawala cha ANC cha Afrika Kusini, wametinga makao makuu ya chama hicho jijini Johannesburg...

error: Content is protected !!