MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).
PAMOJA na Rais John Magufuli kuwataka Meya wa Jiji la Mwanza, James Bwire, Mkuu wa Mkoa, John Mongela na Mkurugenzi wa jiji hilo,...
By Moses MsetiNovember 3, 2017BARAZA la Habari Tanzania (MCT), limepaza sauti na kusema kuwa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita hofu kwa waandishi wa habari na tasnia...
By Faki SosiNovember 2, 2017ZITTO Zuberi Kabwe, Kiongozi wa Chama cha Act – Wazalendo anasema alijua atakamatwa kutokana na tamko la Rais Dk. John Magufuli kutangulia kuelekeza kuwa...
By Faki SosiNovember 1, 2017KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazalendo ameachiwa kwa dhamana alipokuwa anahojiwa katika kituo cha Polisi cha Chang’ombe kwa madai ya kutoa maneno ya uchochezi,...
By Faki SosiOctober 31, 2017JESHI la Polisi linaendelea kumshikiria Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kwa mahojiano kwa kosa ya kutoa...
By Faki SosiOctober 31, 2017MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amejiuzulu nafasi hiyo na kujiondoa CCM kwa madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa siasa nchini, anaandika Mwandishi...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2017MEYA wa Jiji la Mwanza, James Bwire amekamatwa na jeshi la Polisi muda mchache kabla ya kutoa salamu zake kwa Rais John Magufuli...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2017KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, ameituhumu serikali kupika takwimu juu ya kupanda kwa pato la taifa, anaandika Faki Sosi. Akizungumza...
By Faki SosiOctober 28, 2017GOODLUCK ole Medeye, aliyepata kuwa naibu waziri katika serikali ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ameibuka na kusema mazingira ya sasa nchini hayafai kufanya...
By Masalu ErastoOctober 27, 2017MAHAKAMA ya Rufaa imeshindwa kutoa hukumu ya rufaa ya Serikali dhidi ya Sheikh Issa Ponda baada ya jaji kutokamilisha kuiandika, anaandika Faki Sosi....
By Faki SosiOctober 26, 2017WAZEE wa Baraza la Mahakama Kuu ya Tanzania wametoa maoni yao yanayotarajiwa kutoa tawsira ya hukumu ya kesi ya msanii wa maigizo Elizabeth...
By Faki SosiOctober 26, 2017KAMPUNI ya Reli (TRL), imetangaza kubomoa nyumba zote zilizojengwa kando kando mwa reli inayotoka Dar es salaam, Moshi hadi jijini Arusha, anaandika Angela...
By Bupe MwakitelekoOctober 25, 2017JINAMIZI la kisiasa limezidi kumkalia kooni mwenyekiti wa sasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mwanza, Antony Diallo baada ya kuibuka tuhuma...
By Moses MsetiOctober 25, 2017IKULU ya Tanzania, kupitia ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, imewaandikia wafanyakazi wa iliyokuwa kampuni ya uchapishaji ya Printpak (T) Limited kuwaeleza kwamba suala...
By Mwandishi MaalumOctober 23, 2017MBUNGE mstaafu wa Chama cha Mapinduzi, Omar Mjaka Ali, amesema serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli inahitaji kuokolewa kwa sasa imepotea na kupoteza...
By Danson KaijageOctober 23, 2017ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameeleza masikitiko juu uongo uliotumiwa na walikuwa wafuasi wa chama hicho, Samson Mwigamba na wenzake kuwa chama...
By Faki SosiOctober 21, 2017MAHAKAMA ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeendelea kusikiliza ushahidi wa upande wa jamhuri kwenye kesi inayomkabili msanii wa filamu, Elizabeth Michael...
By Faki SosiOctober 20, 2017MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, anatarajiwa kuhutubia kupitia mkanda wa video utakaorushwa na vituo mbalimbali vya kimataifa vya televisheni, ndani ya...
By Mwandishi WetuOctober 19, 2017CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kusambaza picha ya Tundu Lissu kama alivyoahidi Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe mbele ya waandishi...
By Faki SosiOctober 18, 2017CHAMA cha Act-Wazalendo kimefunguka na kusema kwamba Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), haioni aibu kukandamiza demokrasia pamoja na uhuru wa vyombo vya...
By Faki SosiOctober 18, 2017AFYA ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu anayetibiwa majeraha ya risasi kwenye hospitali kuu ya Nairobi, inaendelea kuimarika na kwamba muda...
By Faki SosiOctober 17, 2017KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemugeuzia kibao Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari (Chadema) ambaye...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2017MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, ametinga kwa mara ya pili kwenye ofisi za taasisi ya Kuzuia na Kupambana...
By Faki SosiOctober 16, 2017RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania amemteua aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika Serikali ya Awamu ya Nne ya Jakaya...
By Faki SosiOctober 16, 2017DUKA kubwa (Supermarket) la Nakumatt lililopo jijini Dar es salaam, limelifungia, baada ya kukosa bidhaa za kutosha kwa muda mrefu pamoja na kudaiwa...
By Bupe MwakitelekoOctober 16, 2017MKUU wa chama cha kihafidhina nchini Austria cha People’s Party, Sebastian Kurz, anaelekea kupata ushindi wa kuliongoza taifa hilo akiwa na umri mdogo, anaandika...
By Hamisi MgutaOctober 16, 2017MWANAWAZUONI, mwanaharakati na kiongozi mashuhuri wa madhehebu ya dini ya Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, bado anaendelea kushikiriwa na jeshi la polisi...
By Faki SosiOctober 13, 2017SHEIKH Issa Ponda, Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania amethibitisha kuwa anaheshimu mamlaka na sheria kutokana kutii wito wa Jeshi...
By Faki SosiOctober 13, 2017JESHI la Polisi kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtaka Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda kujisalimisha mikononi...
By Hamisi MgutaOctober 12, 2017SASA inavyoonesha ni kama vile Jeshi la Polisi Tanzania (TPF) linafikiri watu kuzungumzia chochote kuhusu Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ni haramu...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2017CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini ( IGP), Simon Sirro kuacha kutoa vitisho kwa wananchi na...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2017Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, aweza kuwa hajasema ukweli kuhusu madai kuwa hamfahamu na wala hajawahi kumuona zaidi...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2017HATIMAYE Prof. Kitila Mkumbo, aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama Cha ACT Wazalendo, ameonyesha rangi yake halisi baada ya kutangaza rasmi kujiondoa katika...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2017BAADA ya tukio la kijinga, la kitoto, lisilo na mantiki wala lisilojenga heshima yoyote kwa washambuliaji; la kushambuliwa kwa risasi Rais wa Chama...
By Mwandishi MaalumOctober 9, 2017RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, John Magufuli ametangaza baraza jipya la mawaziri lililoongezeka kutoka mawaziri 19 hadi 21 na manaibu 16...
By Faki SosiOctober 7, 2017UCHUNGUZI utakaofanywa na wachunguzi wa nje ya Tanzania kuhusu matukio ya kihalifu yanayoendelea nchini, utatoa nafasi nzuri kwa serikali ya Dk. John Magufuli...
By Jabir IdrissaOctober 6, 2017MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mfanyabiashara Yusuf Manji aliyekuwa anatuhumiwa kwa kosa la utumiaji wa dawa za kulevya, anaandika Faki Sosi....
By Faki SosiOctober 6, 2017FAMILIA ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu imeibuka na kuing’ang’ania serikali ikitaka uchunguzi wa kina ufanyike ukihusisha wachunguzi wa nje ili...
By Faki SosiOctober 5, 2017USIRI uliotanda kuhusu matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antipas Lissu, anayetibiwa nchini Kenya, unaitesa serikali na uongozi wa Bunge la Tanzania,...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2017KADA wa Chadema wiyani Chato, Obadiah Kiko (41), amepanidhishwa kizimbani jijini Dar es Salaam akituhumiwa kuchapisha “taarifa za uongo juu ya serikali,” anaandika...
By Faki SosiOctober 3, 2017WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamesema kuwa Rais John Magufuli amedanganywa na wasaidizi wake kuhusu suala la kujiuzulu kwa madiwani...
By Faki SosiOctober 2, 2017MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amesema watu wasiojulikana walifungua baadhi ya nati kwenye taili ya gari yake kitu ambacho kingeweza kumsababishia ajali,...
By Hamisi MgutaOctober 2, 2017MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, ameanika ushahidi mwanana kuhusiana na mradi wa ununuzi wa madiwani, anaandika Saed Kubenea....
By Saed KubeneaOctober 1, 2017CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemjibu utetezi wa Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole wa kutumia Ikulu kufanya mikutano...
By Hamisi MgutaOctober 1, 2017CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimezidi kuogopa kivuli cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kutimua wagombea wa uenyekiti wa wilaya ambazo...
By Hamisi MgutaSeptember 30, 2017UHURU wa vyombo vya habari hususani magazeti umezidi kuwa mashakani baada ya leo serikali kutangaza kulifungia gazeti linalotolewa kilawiki la Raia mwema, anaandika...
By Faki SosiSeptember 29, 2017MEYA wa Manspaa ya Ubungo, Bonface Jacob amesema anakabiliwa vitisho na vishawishi mbalimbali ili kuhakikisha anafuta kesi aliyoifungua dhidi ya Mkuu wa mkoa...
By Faki SosiSeptember 28, 2017KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Bunge la Tanzania limeamuru kurudishwa nchini gari linalosaidia kumhudumia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) aliyelazwa nchini...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2017JUKWAA la Katiba Tanzania wamempa Rais Dk. John Magufuli kwa kumtaka ajiandae kupokea maandamano ya amani kwa ajili ya kumpongeza pamoja na kumtaka...
By Danson KaijageSeptember 28, 2017KAMPUNI ya Hali Halisi Publishers Ltd (HHPL) inayomiliki na kuchapisha magazeti likiwemo la MwanaHALISI inaamini kuwa serikali imekiuka amri ya Mahakama Kuu ya...
By Pendo OmarySeptember 27, 2017